Izo ni propaganda za serikali, kile kidogo ulicho nacho serikali inakunyang'anya, tulimaliza chuo tukaamua kuwekeza katika kilimo, matokeo yake tulifukuzwa kwa viboko na mazao yetu ambayo yalikua bado yako shambani yaliharibiwa na serikali kisa eti tumelima katika hifadhi za wanyama. kama...
Habari wana JF, nahitaji kuanzisha biashara ya saluni ya kunyoa nywele ila sijui nianze na mtaji wa kiasi gani? tafadhali kwa yeyote mwenye ideal karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.