Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao .
Naamini siko peke yangu...
Mi nakumbuka shuleni kwetu kubeba jembe, kotama, mbolea, maua, chupa, mayai, mifagio, fito, mifutio, maji ilikuwa kawaida.
Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika maskio au kupigwa konzi au kufinywa darasa zima. Adhabu kama kulima ilikuwa kawaida.
Kitu kingine...
Wakati najisajiri NIDA mwaka Jana fingerprints ziligoma kabisa, waliniambia watajua cha kufanya ili nipate kitambulisho na kweli kitambulisho kimetoka ila nilipoenda kusajili kwa alama ya kidole voda na tigo kote zimegoma.
Nifanyeje nisifungiwe line zangu ndugu zangu?
Sent using Jamii Forums...
Habari wadau naomba kama kuna mwanachuo,lecturer au graduate yoyote kasoma IT,computer science au engineering, telecom anisaidie notes za computer electronic nina shida nazo wapendwa tuinuane jamani.
Juzi nilileta thread ya kutangaza kuhusu kuibiwa bag langu ambamo kulikua na nyaraka zangu muhimu ilkiwa ni vyeti pamoja na vitambulisho .
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1580120/
Namshukuru Mungu uyo mwizi alitoa izo nyaraka akaziweka sehemu zimeokotwa na wasamalia wema Hadi...
*NAOMBENI MNISAIDIE KUSHARE HUU UJUMBE WADAU*
Kwa majina naitwa Enock Yusto mkazi wa Dar es salaam.
Leo tarehe 3/05/2019 majira ya saa Tisa alasiri nimeibiwa bag langu maeneo ya Msimbazi Centre Ilala.
Ndani ya ilo bag kulikua na nyaraka zangu muhimu ambazo ni;
1 *Cheti cha kuzaliwa*
2 *cheti...
*SERIKALI YAFUTA MAFUNZO KWA VITENDO `FIELD` KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA*
```Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 14 katika kipindi cha habari za saa kinachopeperushwa na Channel Ten. Sababu za kutokuwaruhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda field ni kile kinachosemwa kuwa ni kutokuwa na...
*SERIKALI YAFUTA MAFUNZO KWA VITENDO `FIELD` KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA*
```Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 14 katika kipindi cha habari za saa kinachopeperushwa na Channel Ten. Sababu za kutokuwaruhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda field ni kile kinachosemwa kuwa ni kutokuwa na...
Habari zenu wadau poleni na mihangaiko. Nina laptop yangu ya Dell core 2,ram 2gb, hdd 320 iko slow sana na bado sijaiwekea vitu vingi space ambayo Tyr nimetumia mpka Sasa hivi haijafika gb50.nimeshauriwa na wataalamu inchangé ram niweke at least four gb vp ndugu itaweza kunisaidia kweli au kuna...
Habari zenu ndugu, naleta swali langu kwenu kuna ubishi hapa ambao unalenga moja kwa moja kichwa cha habari hapo juu.
Binafsi sijawahi fika Zanzibar ila nimefahamu mambo mengi kuihusu Zanzibar kupitia masimulizi na makala mbalimbali.
Kuna jamaa yangu hapa tunabishana hata yeye hajawahi fika...
Mliohudhulia hiyo Shoo ya akina Rayvany, Mavoko na Queen wao tupeni kilichojiri au bado mnaedit picha ila natumaini kila kitu kilienda kama kilivyotarajiwa
Discuss the strategies that can be taken by the government of Tanzania to ensure that individual or companies in the country are not involved, whether directly or indirectly, in bribery, deception or fraud?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.