Search results

  1. enock yusto

    Umegundua nini apo?

    African leaders Sent using Jamii Forums mobile app
  2. enock yusto

    Kabwili ni kichaa...lakini walio nyuma yake si vichaa

    Ataliwa na kuku Sent using Jamii Forums mobile app
  3. enock yusto

    Ulishawahi kuambiwa "wewe siyo type yangu" baada ya kueleza hisia zako?

    Mi niliambiwa "dah hata wewe unantongoza" Sent using Jamii Forums mobile app
  4. enock yusto

    Ila sio siri, Harris Kapiga wanakera!!

    Remote anashikiwa na baba yake Sent using Jamii Forums mobile app
  5. enock yusto

    Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

    Muhaya Sent using Jamii Forums mobile app
  6. enock yusto

    Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

    Malaika muhaya Bushoke muhaya Abela music muhaya Sent using Jamii Forums mobile app
  7. enock yusto

    Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

    Umeuliza swali nililotaka kuuliza ila nikasita naongezea aseme ubora wa ruby kwa Nancy ni upi kama ni nyimbo azitaje Sent using Jamii Forums mobile app
  8. enock yusto

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Dah hatari we jamaa umenchekesha balaa ko vp jamaa yako alikua karani kweli au Sent using Jamii Forums mobile app
  9. enock yusto

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Sijui sikumuelewa,amemanisha alitaja kutoa nyuma au kuiba tight? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. enock yusto

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Nyingine m nilijikuta naenda saba saba kubeba mizigo watu wa maonyesho,kulima mazingira vipande na kupaka rangi japo sio taaluma yangu kipindi cha maandalizi ya sabasaba,pia niliomba kazi ya kusave chakula mgahawani saba saba unakua kama dalali japo sikufanikiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. enock yusto

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Bar maid na kufanya usafi na garden masak na osterbay,vibarua vya ujenzi na kuuza ukwaju wa bakheresa .Kati ya ayo mawili ndo nilifanya kuuza ukwaju wa bakhresa na kuhudumu mgahawani duh mungu huyu ni mkubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. enock yusto

    Top 5: Idadi ya watu wanaoishi Dar, wengi wao wanatoka mikoa hii ukiacha wenyeji

    Unaachaje kigoma na kagera Sent using Jamii Forums mobile app
  13. enock yusto

    Tabia kuitana majina mbadala tunapokosa fursa

    Sawa dokita Sent using Jamii Forums mobile app
  14. enock yusto

    Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    M mwezi wa kumi pale bahi dadeki wanauza et chai ya rangi kikombe buku kakombe kenyewe kadogo na kila kitafunwa buku na kupanda sikujua awali nilijikausha sikulipa kwa hasira Sent using Jamii Forums mobile app
  15. enock yusto

    Story: Ulitenda mema na kulipwa mabaya please share

    Kaka kwanini umefunga pm yako nina shida nawewe mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  16. enock yusto

    Ebwanae Mi nilikua Man-U damu damu ila ushabiki nilionao kwa Liverpool umepitiliza

    Dah kuna dogo anaotwa anord mane pale Virgil bila kumsahau firmonyo fabinyo hatari Sent using Jamii Forums mobile app
  17. enock yusto

    Ebwanae Mi nilikua Man-U damu damu ila ushabiki nilionao kwa Liverpool umepitiliza

    Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao . Naamini siko peke yangu...
  18. enock yusto

    Kwa tuliosoma kayumba: Leo tukumbushane vitu tulivyokuwa tunatumwa na walimu wetu enzi tukiwa shule za msingi

    Mi nakumbuka shuleni kwetu kubeba jembe, kotama, mbolea, maua, chupa, mayai, mifagio, fito, mifutio, maji ilikuwa kawaida. Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika maskio au kupigwa konzi au kufinywa darasa zima. Adhabu kama kulima ilikuwa kawaida. Kitu kingine...
  19. enock yusto

    Ndugu zangu watanzania, Naandika kwa Uchungu Mkubwa

    Maxece melo tunaomba mtuwekee options ya kutag location make awa vijana wa koma koma wanazingua sana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom