Umeuliza swali nililotaka kuuliza ila nikasita naongezea aseme ubora wa ruby kwa Nancy ni upi kama ni nyimbo azitaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingine m nilijikuta naenda saba saba kubeba mizigo watu wa maonyesho,kulima mazingira vipande na kupaka rangi japo sio taaluma yangu kipindi cha maandalizi ya sabasaba,pia niliomba kazi ya kusave chakula mgahawani saba saba unakua kama dalali japo sikufanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bar maid na kufanya usafi na garden masak na osterbay,vibarua vya ujenzi na kuuza ukwaju wa bakheresa .Kati ya ayo mawili ndo nilifanya kuuza ukwaju wa bakhresa na kuhudumu mgahawani duh mungu huyu ni mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
M mwezi wa kumi pale bahi dadeki wanauza et chai ya rangi kikombe buku kakombe kenyewe kadogo na kila kitafunwa buku na kupanda sikujua awali nilijikausha sikulipa kwa hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee sijui kwanini mi nilikuaga sijui kama mtu unaweza hama timu uliyoishabikia tangu utotoni na kuiacha ukubwani,Mi shabiki wa manu wayback sana ila tangu mwaka juzi nimejikuta nahamia Liverpool najikuta naishabikia kuanzia jezi,wachezaji wote ,kocha mpaka uwanja wao .
Naamini siko peke yangu...
Mi nakumbuka shuleni kwetu kubeba jembe, kotama, mbolea, maua, chupa, mayai, mifagio, fito, mifutio, maji ilikuwa kawaida.
Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika maskio au kupigwa konzi au kufinywa darasa zima. Adhabu kama kulima ilikuwa kawaida.
Kitu kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.