Ni bora mradi umeanza kufanya kazi hela zetu tunaziona tutarejesha kidogo kidogo tukifaidika wote. Je fedha hizi kama zingeenda mifuko ya wajanja mgao ungetuua na uchumi ungeshuka zaidi
Watu wengine hawaĥitaji maji baridi wakati wote kwa mfano watoto na jagi la maji unalosema kutunzia maji ya moto inakuwa kama unataka kunawisha mtu mikono
Naunga mkono hoja magari ya zamani tu ndiyo yanaonekana kuwa tatizo katika vitu vinavyoleta uchafuzi wa mazingira wakati kuna vitu vingi sana vinavyo agizwa vinauhatarishi wa afya na havina ushuru mkubwa. Gari siyo anasa hasa ukizingatia kodi nyingi "Utilities" kianzio ni mafuta yasipokuwepo...
Bibi umeibuka Uislamu haukuachi lazima upite nao kama roho na mwili huwezi kujificha japo kidogo lazima ujitokeze tu bibi hata wakufiche wapi utatoka pole dini hizi tumeletewa kwa majahazi pole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.