Kuchachuliwa inategemea na malezi kama hujamfundisho dos and donts atachakachuliwa mapema tu!
mie nina mabinti wawili nina faraja maana ni mabest zangu , wadogo zangu na kila kitu am happy wala cjuti kukosa wa kiume
u mama huruma uko pote wala sio kwa wahaya tu wapare je? Wanyakyusa je? And the list goes on... Sie wasomi bwana hyo ilikuwa zamani kama huna uwezo wa kumpata mdada wa kihaya usimwage pumba zako hapa
Kama hujakutana nayo pole ila yapo wakati nasoma high school pale Bwiru nilisoma na msichana alikuwa anapendwa sana na baba yake mpaka ikawa uzushi kuwa anatembea naye na iligundulika ni kweli maana walifumwa beach kwenye mawe wakivunja amri ya sita baba alikuja kumtembelea shule
yaani natamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.