Ntuzu
Hivi uwanja wa chipukii bado upo ama watu wamejenga mjengo ? Nakumbuka ulikuwa unatenganisha shuze za Gongoni na Mihayo
Hivi kuna mtu humu anamkumbuka BRUDA DAMIANO ? Laiti angelikuwepo hai mpaka leo Tabora ingekuwa mbali sana Kimpira
Mkuu Ntuzu
Inalekea wewe ulikua unakaa National House, Vipi kuna jamaa naitwa John Shija bado yuko mboka Nation ? na famila ya kina Simbakalia bado ipo Tabora ?
Shembago hivi unamjua jaji Ihema ama unajisemea tu ? Kwa taalifa yako jaji Ihema alimaliza chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka mmoja na Samwel Sitta. Ameawhi kuwa Director of External Interligency pale TISS kipindi cha NyererE miaka ya '70, Baada ya hapo akawa akapelekwa ubalozini Italy...
Kwa wale mliosoma Pugu Sekondari kati ya mwaka 1985 -'90's Headmaster Mwalimu Amoni Mtera amefariki dunia jana saa 12 asubuhi kwa kugongwa na gari akiwa pamoja na mkewe na jirani yake wakati wanaeleke Mwisho wa lami Gongo lamboto. kupanda gari kueleke mjini.
Marehemu pamoja na mkewe walifunga...
Sikonge mzee Mchemba aliwapeleka shule watoto wake wote, Maana uwezo alikua nao tatizo mpaka leo huwa sijui ni kwa nini walikuja almost wote kuhalibika. Nahisi malezi hayakuwa mazuri, Na kwa Tabora huluka hii ya uvivu aliiacha pale mwarabu.
Kama wanaona wanaonewa si waludi kwenye nchi zao za asili, Huko Saudi huwezi ona Kanisa lakin waondio huwa wa kwanza kulalamika kwa kuandamana kutaka kujengwa kwa mamisikiti ulaya. Yaani hawa jamaa kwa double standards siwawezi.
Mzee Safari
Asante kwa hilo, Mimi ndo maana nimeishajichokea na nchi hii, Yaani kila mtu sasa hivi ni mwizi tu sijui tunawarisisha ni watoto wetu ? Tazama sasa hawa vijana walioko serekalini kama Masha na mwenzie Ngereja tulitegemea labda wangelikuja na mawazo mpya lakini kumbe ni yale yale...
Nimesikia na Peter Kisumo a.k.a "Mwanasiasa anayeheshimika" naye akisema Wasira na Maige wajiuzuru. Hapo ndipo unapoona nchi hii imeshauzwa. Hivi mtu kama Peter Kisumo ukijiuliza huu Uenyekiti wa Bodi ya Vodacom ameupataje jibu utalipata vipi ? Si kwa kupigia debe mambo kama haya ? Stupid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.