Nahitaji kumwandikia barua ya ukomo wa ajira mtumishi ambaye mkataba wake wa kazi umeisha ili aweze kuombea mafao yake NSSF. Kwa hiyo nilikuwa nahitaji kwa wanaofahamu wanisaidie ili niweze kuboresha sample niliyonayo.
Wakuu, kwa anayefahamu.
Naomba kujuzwa ni Kanuni namba ngapi ya Public Finance Regulations ya mwaka 2001 revised edition 2004 ambayo inazungumzia matumizi mabaya ya fedha za umma/serikali. Au Sheria/Kanuni yoyote nyingine ambayo imezungumzia.
Natanguliza Shukrani.
Habari wanajamii. Kwa anayefahamu naomba anielekeze duka/mahali naweza kupata Neutrojena oil free moisturizer, maduka ya vipodozi mwenge nimekosa. Natanguliza shukran.
Habari zenu wakuu.
Kwa mwenye ufahamu naomba kujuzwa hivi mtumishi wa umma kwa mwaka anatakiwa kuomba ruhusa jumla siku ngapi?na je kwa watumishi wanaochukua/kuomba ruhusa mara kwa mara utaratibu ukoje wa kuwadhibiti?
Natanguliza Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.