Kama heading ilivyo nimekutana na mshkaji wangu mmoja ambaye ni mtu wangu sana wakaribu haiwezi pita wiki bila kukutana mbali na kupigiana simu kila siku.
Leo story yake ilikua ya huzuni sana na kwasababu ni mshkaji wangu tangu utotoni na temeshare michezo yote ya utotoni napia tupo katika...
Habari waungwana!
Niende moja kwa Moja kwenye mada.
Kwa siku za hivi karibuni kuna tatizo LA Mimi kupigwa na shoti km ya umeme nikigusana na net ya kitandani na inauma kiasi na pia inanisababishia mshtuko kitu ambacho kinanifanya nikose amani pindi ninapolala.
Pia sio hivyo tu! Mara nyingi tu...
Natumai ni wazima wa afya.bila kupoteza muda nianze moja kwa moja,Ni hivi wa kipindi cha miezi miwili iliopita tuliunda uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja ana km 25yrs baada ya kufahamiana kwa kipindi cha miezi 6 ilitopita katika shughuli zetu za kutafta rizki.
Kilichonifanya nije na huu...
Kama kichwa cha habari kinavyosema leo kwa mara ya kwanza nimeona wamasai wakiwa wanazika ,walikuwa kama 40 wakiwa wamevalia mavazi yao ya asili huku wakiimba nyimbo katika makaburi ya njedengwa Dodoma, bahati mbaya sikuweza kuwapiga picha coz nilikuwa kwenye bodaboda!
Sent using Jamii Forums...
Kama kichwa cha topic kinavyosema, naombeni ushauri juu ya hili la kula kwa mtoto wangu mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane.
Amekua hapendi kula kabisa na tumemjaribu kwa kila chakula mbalimbali lakin bado amekuwa mgumu, tumemweka awe anakula na watoto wenzake, sisi na watu mbalimbali...
Hali ya kuwa na marais wa mitaa mara sjui rais wa kijiji gan mara wa kona street now days wamepngua kama sio kuisha kabisa tangu mh Magu aingie madaraka.
Shkamoo mjomba magu.
"...binafsi ninaomba radhi sana! Kwani sina pakushika wala pa kuanzia kimaisha... Natoka familia duni yenye UMASIKINI usio elezeka.. Hata hela ya kupika pilau mimi sina jamani leo sikukuu
...nime kosa mimi! Nimekosa Mimi nimekosea sana.." nawaombeni pilau jamani nimekosea mimi
NAWATAKIENI...
Kwa muda wa miaka kadhaa nmekua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti ila nimekuja kugundua wale wote ambao nilibahatika kuonja mapishi yao nimegundua mahusiano kati ya utamu wa papuchi zao na mapishi yao.
Ni kwamba wale ambao huwa marazote wanapika chakula kitamu pia na pupuchi zao ni...
Salaam wandugu!
Kuna kitu mimi huwa kinantokea kila mara(karibu mara 5 kwa wiki).
Ni hivi huwa mara nyingi inapofika usiku kuna muda nkiangalia saa nakuta ni muda ule ule,yaani kama ni saa tatu kamili bas ni hivo hivo kila siku.
Kiukweli sina ratiba maalum kufanya kitu hikohiko inapofika...
Salaam zenu wandugu
Kuna jamaa yangu anatatizo moja linamsumbua anaomba msaada wa kimawazo toka kwangu,hivo nami bila kusita nmeamua kulileta kwenu ili tuweze kumsaidia sababu humu najua kuna wajuz wa mambo.Huyu jamaa yangu anaishi maeneo ya uswazi kidogo ni mkimya pia na hana stori nyingi na...
Habari wapendwa.
Nimekuwa katika mahusiano na msichana mmoja muda wa miezi sita sasa.Ila kuna kitu sjakielewa toka kwake.
Ni kwamba kila tunaposex kuna neno huwa anapenda sana kulitamka kua"baby nipeleke chooni"na huwa analirudia mara kwa mara hadi mara nyingine nakatiza pambano ili aende au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.