Kawaida unaeza kuwahi week 2 au ukachelewa week 2 kwenye ile tatehe yako ila zikipita zile week 2 wahi hospital maana placenta inakua tayari imechoka na uterus pia vile vile so mtoto anaeza akafia tumboni.
Picha inaeleza nini apo sasa atujui anaelekea wapi je kama ndo wakati anaondoka? Akuna kitu mwamunyange ajaja lazma tungeskia press conference ili kuwa kata walozusha vilimi
Acha kumsingizia mwalimu akiwa hi kusema kwamba lowassa Hafai?
Tunajua wakati ule umri wake na pia kukodi ndege ilikua si jambo la kawaida bt sasa ivi watu awa kodi wanamiliki zao wenyewe na ndo maana tuna mtaka huyu huyu fisadi potelea mbali!
Kwani alumni bail kikwete??
[Q UOTE=chamakh;14364681]Kama umeambiwa Mwanza ni CDM ila wewe ukaleta ubishi, utazomewa tu, nami nasema azomewe tu, hakuna namna maana tumechoka.
Teh teh teh mbavu zangu mie jamani pole sana pombe umekutana na magumu sana ila sio kwamba tu wanamzomea hatumpendi la khasha! Wamezidi...
We waache wataanguka anguko la star tv.
Wastuletee uchama interest zao badae ila wajitahidi ku equalize mambo ili tuwaalewa na kuwa amin
ITV big up Kiukweli mna kuelewa na mfano muigwe
Ooh my good!
Mungu aitwe mungu mungu usiyepangiwa mungu usietabiriwa mungu usiefundishwa Bali ni mungu atandae linalompendeza,
Deo we loves u but god loves u more
Rest in peace deo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.