Habari za uhakika kutoka Wizara husika ya Maji zinasema JK ameogopa kwenda Mwanza kuwa mgeni rasmi kilele cha wiki ya Maji tarehe 22. Badala yake wakapendekeza awakilishwe na Makamu wa Raisi. Inasemekana kuwa JK analiogopa jiji la Mwanza kwa sasa kama ukoma na amesitisha kwa muda ujenzi wa...
Jk aliingia madarakani kwa njia ambayo haikuwapendeza wengi. Umeme umekuwa ni kero na amekwenda nje kupumzika kuepuka kero za mgao wa umeme. Hataiongoza Tanzania kwa mafanikio mpaka anaondoka
Mfano mzuri alipokua kule mkoa wa manyara JK aliahidi maji kutoka mto ruvu, kwa watu ambao hawajui jografia wataona ni kitu rahisi hivyo wakampa kura .. Je hayo maji yavuke mito yote mikubwa kama wami, mito ya tanga moshin na mbaya zaidi hata ile ya jirani yao Arusha??:hippie:
Mkuu Hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.