ni wiki ya pili tangu tufunge king'amuzi cha startimes kwenye playlist yao hawana chaneli za hapa bongo kama vile Itv, Eatv, star tv kwa kweli sifurahii kabisa huduma zenu
Wauwaji ni hawa waislamu wa seleka wakijiona wao wa maana ndani ya nchi yenye mixture ya dini sasa kibao kinawajeukia mnawatetea sasa kwa taarifa yako wanahamishwa na kuonyeshwa kuwa Bangui hawaishi wauni tu bali hata wastarabu wapo
kikundi hichi cha wahuni wakislam cha seleka kinahamishwa na wapenda amani wa ant-baraka nakuwaonyesha kuwa ustarabu unahitajika sasa wanahama na malori na kwenda kuishi kama wakimbizi
mie naona hawa ndugu zetu waislam wapunguze kama sio kuacha kabisa itikadi za kipuuzi, leo unakuta shehe anayeheshimiwa anatukana wakristo na kuwakejeli hata kutuita makafiri alafu waamini wao wanashangilia na kumuona mtu wa maana kabisa haya ndio yaliyo tokea huko Bangui-Central African...
hizi ni taarifa nzuri kutoka jeshi la polisi popote tuwaonapo hawa wanaojita watoto wa mbwa tutoe ushirikiano kwa polisi hii itapunguza ualifu ambao unasababisha sisi raia tuishi kwa hofu pamoja na mali zetu tusiishie kuponda kutoa kejeli wakati hv majuzi hapa ndugu zetu jamaa mama zetu...
Hata ukichunguza watu wenye kipato hata mazingira ya kwenu watakwambia alikuwa mfanya biashara, mfanyakazi mwenye nyadhifa kubwa kabisa kazini kwake au mkulima maarufu hao ndo utawakuta wanamagari mazuri na nyumba yenye hadhi ila kwa sisi tunaofikiria kujenga wakati kipato hakiendani na hatutaki...
Siumewahi ona wazee kitaa wameanzisha nyumba mpya mwaka 2003 mpaka sasa ndio anaanza kuweka angalau siling board, hapa mkuu cha maana ni kukuza kipato kabla ya kujenga kwanza maana kazi na mshahara ndio uwe mtaji ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.