Jambo Wadugu. Natafuta supplier wa Alovera at a large scale tafadhali. Kama kuna yeyote ni mkulima au anamfahamu mkulima tafadhali ani inbox. Natanguliza shukrani.
Mkuu sahihisha hapo ukubwa wa betri kama ni N1000 basi kuna shida kubwa hapo. Ila kwa panel 120 watts unaweza funga battery 150 Ah 2 Pcs za dry na ukaendelea kupeta.
Jambo kwa panel ya watts 90 Nunua Battery dry 100 Ah itafaa, Bei kwa sasa ni Tshs 260,000 kwa battery aina ya Ritar japokuwa hiyo sio the best in the market, lakini inafaa kwa matumizi na kwa hali ya maisha. Best ni Victron, Tez, sollartek.......na price ina range kati ya Tshs 400,000 - 450,000.
Battery ya Solar au nyingine yoyote haiongezwi acid kamwe. Battery ikipungua nguvu ongeza distilled water sio Acid mkuu. Kwa maelezo yako inaonekana battery imekufa japokuwa ili kujiridhisha inabidi kujua umekaa nayo muda gani na kama inaweza kuwa recharged
Nimekuwa nikifatilia kwa makini mwenendo wa kisiasa katika nchi yetu kwa zaidi ya miaka 20 sasa. Nasikiitika kusema sioni chama makini wala chenye dhamira ya kweli kuwaongoza Watanzania kwenda kwenye nchi ya asali na Maziwa... Kama kipo basi sera na madhumuni yake yanaweza kuwa sahihi laikini...
Nina swahiba anasafiri mida hii to Mbeya amenitumia SMS kuna basi la Hood limetumbukia Kitonga. Kupata more details wenye ndugu waliokuwa wanasafiri kuelekea au kutoka Pande hizo na Hood tafadhalini fatilieni.
UPDATE;
Basi la HOOD limepata ajali Mlima kitonga muda huu, taarifa zaidi zitatolewa...
Yeyote anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo ni pm nikupe mawasiliano upate matibabu for only 1 week you are done. Nimetibiqa mimi na watu watatu wa karibu yangu.
Iko shida last time tulipata sms from MPESA inadai kutuma 2.3million kwenye simu ya ofisini na jamaa akaanza kusumbua anahitaji mzigo haraka. Nikamwambia ni mpaka tutoe hiyo pesa ndo turuhusu mzigo. Jamaa akaanza ohoo ngoja niblock hamna customer care. Kwenda kibandanifake sms. My question why...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.