Habari Dr,
Tunashukuru kwa Ukarimu wako kuendelea kutuelimisha habari ya afya,
Naomba msaada, Mume wangu ana shida ya tumbo kwa muda mrefu, akila chakula anasema ni kama kinakwama kwenye "chembe ya moyo"- hapa chini ya kifua kidogo, na huchukua muda kuyeyushwa,
Pili kuna wakati anakuwa hana...
Kweli kabisa,
Mimi kwenye familia yangu nilishakataa huo ujinga,
mwanangu wa 1.5yrs anatumia vyombo vya udongo na anaweza kutoa mezani kupeleka jikoni vya size yake, wakikua hivyo hakuna cha kuwatetemesha wavunje n.k.
wamama wabadilike
i am glad to know the source of the song "it is well with my soul"
In this life sometimes we pass thru difficulties BUT the most important thing to know is "WE HAVE A WONDERFUL FATHER AND FRIEND WHO ALWAYS IS ON OUR SIDE"
Be Blessed people!
Jamani tutambue mchango wa madaktari, si wote wenye matatizo kama tunavyofikiri, Last month mdogo wangu anayesoma shule ya boarding aligundulika ana kisukari, daktari wa hospitali iliyo karibu na shule alimdiscourage sana kwamba ni ugonjwa atakaokuwa nao mpaka mwisho, lazima achome sindano...
Mimi pia nikuwa na tatizo hilo, nikaenda hospitali, nikakutwa na allergy ya vitu mbalimbali, after treatment na kuacha vitu fulani, sasa naendelea vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.