Kijana kuna wakati huwanaona una mawazo endelevu sana katika threadna michango yako humu jamvini,lakini hoja yako ya leo ni busara ukakubali kuwa umechemsha tena sana! hoja yako ya udini ni hatari kuliko neno hatari lenyewe. Nyrere aliwaambia ubaguzi hauna mipaka, leo mnatumia DINI ili muendelee...
Huyu mama ana AMNESIA AU KACHANGANYIKIWA.
Anajuwa kabisa yeye ni miongoni mwa chanzo cha hii karaha na mauaji yote yalotokea ,lakini bado ana jeuri
ya kufungua kinywa chake na kutoa kauli za kebehi kiasi hiki kwa watu waliotumia uhuru wao wa kikatiba wa kuongea
na kutoa maoni yao! Ama kweli...
Ebu acha mambo ya kijinga. unadhani shahada ndiyo nini?
Mbona kikwete ana shahada lakini ni mbubmu kuliko hata wasio na shahada!!!
Msitishe watu na shahada,akili zenu za kijinga hizo ndiyo maana mnalipishwa pasipo na sababu?
Bwan wee ukweli ndiyo huo,watu wote wanafahamu na hata wapinzani walishasema hadi wakachoka.Sisi wabongo ndiyo wajinga ,ukifika uchaguzi tunairudisha tena ccm. haya mambo yatashughuliwa vizuri ccm ikiwa nje ya madaraka na siyo vinginevyo.tukiendelea kuwaweka ccm madarakani basi tunatakiwa...
Originally Posted by Waberoya
Nimekutana na mtu mmoja mzito leo anasema JF wengi ni vuvuzela na angependa amuone kila mmoja kwa sura yake, huwa haamini kuwa ni intelectuals basi kama ni intelectuals basi kuna tatizo sehemu, huwa anaamini ni shule ya msi Originally Posted by Waberoya
Nimekutana...
Inavyoonekana tayari kampeni za 2015 ndiyo zimeashaanza rasimi.
Nashindwa kuelewa hasa ni lini Tanzania tutapata maendeleo tunayohitaji! manake Tanzania ni nchi moja ambayo watu wanakampeni nonstop!
20 December 2010 Last updated at 16:01 ET
Share this page
Facebook
Twitter
Share
Email
Print
BAE Systems faces fine for Tanzania accounting offence
By Martin Shankleman Employment correspondent, BBC News
BAE admits it failed to keep proper accounts
Continue reading the main story Related...
ATM Fraud Gets Even More Brazen
provided by
Fraud involving debit cards and personal-identification numbers is on the rise as criminals go where the cash iseven targeting banks' own automated teller machines.
Techniques such as "skimming," in which criminals capture card information and...
CCM wanajua dhahili matokeo ya kura siyo tu ya ubunge na udiwania bali na ya uraisi hususani yametengenezwa toka wanakokujua hivyo
hawatakubali kamwe kwenda mahakamani kujimaliza.Ninachokiona ni ccm kujaribu kupima upepo umekaaje halafu wajifanye kana kwamba hawajwahi kutamka walichotamka. Nduu...
Inasikitisha saana kuona bado Tanzania in watu wajinga na wapumba.... kiasi hiki!!!
Kwa nini watu mnapenda kuhalalisha dhuluma na vitendo vya kihuni vinavyofanywa na hawa watawala uchwala wa
kitanzania? huu upuuzi wote wanaoufanya hauna masilahi kwa taifa la Tanzania hata kidogo even in the...
Unaweza kutukusha taratibu zilizotumia na Mwl pamoja wapambanajia wenzake kudai uhuru kwa wakaloni?
Kama unadhani Chadema wanapoteza wakati,basi subiri uone!!!! siyo muhimu chadema kutumia atartibu ulotumika kenya
ama sehemu nyingine zozote.
Naamini atakuwa Pinda kama atatumia busara angalau kidogo,kwani tayari nci imeshazidiwa na mzigo wa mawari wakuu,
akiteua mtu mwingine itakuwa ni ukosefu wa busara wa hali ya juu. ni muhimu kuangalia masilahi ya taifa kuliko kusambaza cheo
cha waziri mkuu kwa kila mtu,pia nahisi atamteua mwanae...
Kwanza nikushukuru kwa mapendekezo yako mazuri ambayo hat hivi hakuna mtu atashughulika nayo kama ujuavyo viserikali fisadi kama haka ka kwetu!!!!!. Hata hivyo binafsi bado naona umependekeza wizara nyingi kulinganisha uwezo wa serikali hususani kwa kushindwa kukosekana kwa nidhamu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.