Vyama vya kisiasa,ukabila,udini na ukanda visiwe ndio chanzo cha kututofautisha watanzania mpaka kufikia kukana maslahi au mambo yanayowahusu viongozi wetu wa nchi yetu.
Hivi siku hizi za karibuni baada ya mambo ya vyama vya upinzani kuwekwa wazi,umekuwepo upinzani dhidi na chuki kubwa dhidi ya...
MH!17 na kuhusishwa na Vladimin Putin rais wa serikali ya Russia hivi sasa baada ya tuhuma zinazomkabili kiongozi huyo kwa support kubwa anayptoa dhidi ya serikali ya ukraine,inavyosemekana chombo kilichotumika kuipiga ndege ya kiraia kilitokea nchini kwake pamoja na order zote,case ka hii...
Haya tena wajameni,mimi kuna kitu kinanikwaza sana siku hizi,mbona viongozi wengi wa chadema siku hizi wanahamia chama tawala,hii imekaaje sasa?au watu wa ccm wanawanunua au kuna kitu kinachowapelekea wanachadema kukihama chamandio ni aje sasa,kasi ya baadhi ya wanachadema kukihama chama chao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.