Dr Slaa ni chaguo la wote ninachangia hii post ingawaje nilipitwa wakati ilipoanzishwa lakini mawazo yangu ni kwamba muelekeo wa ukawa wa kumtupa Dr Slaa na badala yake kumtanguliza mbele huyu Lowassa ni kuonyesha jinsi Ukawa namna gani bado kuiva kisiasa.Mtu hawezi kutoka alikotoka achaguliwe...
Kuna kitu kinaitwa will hiyo ni document muhimu sana kwa mwenye family kuiandika kabla hajakufa, wenzetu wazungu wao wanafanya sana hivyo kwa kuweka mazingara sawa kabla mtu hajakufa, maandiko ka haya ndio solution ya migogoro mingi ndani ya families nyingi. Mr Murage:usa2:
Maandiko yenye ukweli yamekufanya upoteze fahamu na yamekupandisha roho mtakatifu na uccm wote vimepanda kwa pamoja ,unaandika matusi na kuanza kutoa shutuma hata bila ya kumjua unayemtolea shutuma hizo za kijinga.Kwanza jadili mada na mtu na pili toa sababu zako za kupinga au kutokukubaliana...
Wewe mtu naona maandiko yangu yamekufanya ROHO MTAKATIFU AKUPANDE KICHWANI,unaongea ccm chama hicho tayari imeisha kufa subirini wote mpelekwe mahakamani baada ya kuvuliwa madara,unajifanya wewe unauchungu na hii nchi wakati nyie ndio majizi yanayoitafuna na kuimaliza hii nchi.Unauliza nimetokea...
Wewe wacha matusi hapa lete hoja au jibu hoja matusi yanakufanya uonekane ka ndondocha hapa,jibu hoja nilizoandika na kama kichwa chako ni kibovu ungekaa kimya na kuwaachhia wenye uwezo wa kujua malumbano ya kistaarabu,vipi nakuona vimaandiko vifupi tuu vyenye ukweli vimekupandisha ROHO...
Armaggedon hiyo ni line iliyoanzishwa na George Bush naye alishindwa kuwamaliza waislam wote,safari hii muzungu atakimbia mwenyewe toka middle east. Mr MURAGE:canada:
Ndio mkuu wangu Pankrease maandiko yako ni msumari kabisa na yote uliyonena yako madhubuti hamna upingamizi ila baada ya game kuisha nakuomba tafadhali usijitoe ktk hii sehemu babu kubwa ya watu kuandika yaliyo moyoni mwao,kwa lugha yao wenyewe ni free speech sijui utaweza ipata wapi kwengine...
Ndio naweza nikawa nje ya nchi lakini ninafuatilia kwa ukaribu sana masuala ya nchini kwetu,na ninayafahamu vizuri sana,watu kama nyie ndio mnataka hii nchi ifike mahali pabaya sana kwa huko kulazimisha kwenu mambo,mnazungumzia masuala ya utesaji na unyanyasaji wa hao watoto ,hizo ndio zenu kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.