Kumbe kuna maraia wengi bado wanapenda hii kitu WWE ni kama soka vizazi vinabadilika.... Angalia NXT na WWE 2O5 kuna vipaji vinakuja hata wakina ROMAN REIGN watapotea
Hivi wabongo hatuwezi kuwa na msanii zaidi ya mmoja juu mpaka tuwaringanishe baada ya kumshindanisha diamond na darasa saizi tumeamia kwa hamorapa....tuache utimu usiku na faida tunapowashindanisha wasanii wetu lazima tunampoteza mmoja... MUZIKI UWANJA MPANA KILA MTU ANAWEZA FANYA SEHEMU YAKE
Kuwashindanisha wasani ndio tunakopelekea wasani wasiendele ....UKWELI MCHUNGU Ali kiba ni msani mzuri ila kumshindanisha na Diamond ndo maana anaonekana namba 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.