kumbe "sijafulia" na "pididy" ni mtu mmoja? Sasa yanini basi ujibu kwa jina tofauti na uliloanzishia thread?
Kuwa shujaa upambane na ukweli badala ya kujificha kwenye majina elfu - kwani unamwogopa nani hapa au mkweo huwa anaingia humu ..hutaki akuone ulivyo?
Inaelekea unapenda mipasho kama...
Duh!
Ina maana wewe huwa hutoki hata kwenda kazini/mihangaikoni? Ukiwa hauko watoto hao hubaki na nani kwani?
Kama ukiwa haupo, wana mtu wa kuwaangalia... basi una sababu ya kumtolea nje . Mwambie awajibike kwa kulea mimba si kazi, kazi ni kulea mwana!
Huyo mke mwema mpaka atoke kwa bwana yahitaji mchakato.
Je wewe mwenyewe u mwema kiasi gani?
Ukiwa mbaya ujue kuna uwezekano mkubwa kupata mke asiye mwema maana birds of the same feathers flock together.
Ikiwa wewe mwenyewe kutwa kuchwa unashinda grocery ukilewa, unatembelea mitaa iliyo tata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.