Fuata utaratibu wewe... Nchi ina chelewa kwa sababu ya watu kama nyinyi! Kwahyo kama ni boss wao ndio taratibu zikiukwe?? Acheni undezi hao walinzi wame pewa taratibu wana zisimamia na wanao toa izo taratibu ni hao unao ita maboss... Bunch of idiots
Ulitaka uletewe taarifa kwa hawara wako kua vyeo vya jeshi la wananchi wa Tanzania limefanya Mabadiliko ya kitu hiki au kile? Kukosa kazi nako ni kazi.. We unadhani Shirika la Mkonge lile sio? Upewe taarifa za kijeshi kisa una bundle la mwezi si et?
Mo kama mwanachama ana wazo zuri... Ila kama mwekezaji anaingilia mchakato wa kumpata mwekezaji kwa kuweka pressure kwa viongozi na wanachama kwa kutumia current situation ya tim ya Simba... Angetoa wazo aka kaa pembeni ili kama wazo likipita wawekezaji wengine wajitokeze na bid zao mna...
Mashirika yanayotetea haki za wanawake na usawa wa kijinsi nchini yamesema uteuzi wa nafasi muhimu za uongozi serikalini unaofanywa na Rais John Magufuli, hauzingatii hali halisi ya uwakilishi wa kijinsia.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam kwa niaba ya mashirika hayo, Mkurugenzi wa Mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.