Tabu yako unahisi maendeleo ni LAMI TU na inavyoonyesha wewe haupo kyela na unahadithiwa tu maana kuna mwenzio anaongelea maji ya DANIDA lakini kwa ufahamu wangu hata hayo maji ya danida wewe hujawahi yaona na maji hayo yalitoweka kipindi kasyupa anamaliza kipindi chake cha ubunge.
Utakuwa umealilishwa na wapinga ushirika na wewe sio mkulima wa kokoa na hata wazazi wako hawana shamba la kokoa zaidi ya kuona kwa watu,njoo kwetu teneende ,ipinda na kwingineko kuliko na kokoa nyingi uone mabadiliko ya bei
Kikolo usafi ulitaka nao mbunge aende kuwafanyia?mango tree tatizo lake linajulikana tuache unafiki,Mzee mwambalaswa anajua mango tree kwa nn imekufa na mewenzie Fulton sasa hapo mbunge anaingiaje hapo
Makampuni ya kokoa Kyela yamewanyonya sana wakulima,kwa kipindi kifupi sana cha utaratibu wa stakabadhi ghalani bei imepanda na hakika itazidi kupanda mkuu,kama changamoto lazima ziwepo lkn sio kwa kupinga ushirika ni kurekebisha tu hizo changamoto
Ikiwa ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inazungumzia kuhusu kuanzisha na kuimarisha Ushirika lakini kwa wilaya ya Kyela ni tofauti kwani viongozi Wa CCM Kyela akiwemo Mwenyekiti, Katibu Mwenezi wa Wilaya na Mwenyekiti Halmashauri ya wilaya ya kyela ni miongoni mwa viongozi wanaopinga...
Kabla ya kuleta huu upuuzi muwe mnasoma kwanza na kuelewa ndipo mtuletee hapa nasema mtoa post soma vzr hiyo barua inajieleza vzr kuliko kuja hapa kutudanganya tu
Napita hapa mahakama ya kisutu watu waliopo nje ya geti waliozuiwa hata kumi na tano hawafiki ila huku nyuma ya keyboard tunaaminishwa watu ni wengi balaa
Leo nimepita maeneo ya gereza la segerea watu kule hata hawajui km mbowe yupo humo kila mtu snaendelea na shughuli zake, kwa mbowe kabaki lema anatisha watu huku kasikia anatafutwa kaanza kuomba msaada twiter wengine waliobaki ni wale waandamanaji waliopo nyuma ya keyboard
Sent from my TECNO...
Upo nyuma ya keyboard unazungumzia mbeya kutaamka, sahau vijana siku hizi wanajitambua, kuropoka aropoke mwenyewe halafu mbeya kuripuke kuna mtu kamtuma kutukana, muache anyee debe kidogo
Shida ya watu hasa upinzani mnataka kusikia mnachowaza nyie na mkatengeneza majibu mh mwakyembe yupo sahihi kabisa na majibu yake yamejitoshereza kama kuna kitu mnaona mnaonewa si kasema muende mahakamani sasa mnashindwa nn zaodi mnaleta porojo na ndio maana kasema serikali haiogopi kukosolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.