Mheshmiwa Dr. Slaa swali langu, naomba kujua washirika wenu ktk siasa za tanzania kwa upande wa ZNZ maana pamoja na kukubalika huku bara vilivyo hali ni tofauti kwa upande wa visiwani. Na hata ktk safu yenu ya ungozi sio kama kuna sura za kuonyesha muungano naomba uniweke sawa kuhusia na hili...
Ni full time ipi unayomaanisha? kama hujui kuwa alizidiwa AR basi usiseme full time, na kuhusu kuzidiwa mara kwa mara nadhani umethibitisha matukio ww mwenyewe. Hebu nipe Raisi mwingine aliyepatwa na masahibu kama hayo ktk historia ya Tz na maraisi watatu waliomtangulia.
Mkuu hivyo ndivyo ilivyo kujiuzulu hua kunamuondolea heshma fulani mteuzi kama huna khabari ndio maana wakati mwingine mteuzi huwa anakataa maombi ya kujiuzulu ili asipatwe na aibu hiyo. Hivi kama JK angekubali maombi yote ya waliotaka kujiuzulu leo hii wangekua wamemuabisha wangapi? Kujiuzulu...
Sina uhakika wa kutosha lakini nadhani neno sahihi ni "ahirisha" kama kuna wadadavuzi wa lugha nadhani watatuweka sawa maana naona kama bado tunaongea kwa kuhisia tuu.
Tanzania imepoteza rasilimali ya madini nyingi na mapato mengi huku umasikini wa wananchi ukiongezeka. Sasa sheria Mpya ya madini inakuja Bungeni tarehe 19 na 20 April 2010 kwa hati ya dharura ambayo wabunge wanatakiwa kujadili na kupitisha siku hiyo hiyo! Tunauliza, kwanini hati ya Dharura bila...
Naweza sema tunaongozwa na NSYUKA hawa watu hawana tofauti na pepo NSYUKA yaani mtu alieinadi kwa nguvu na kuitetea pale bungeni huku akicheka kumbe alikua anatucheka sisi wadanganyika hii ni hatari. Sasa tushamjua lakini je wote tunaona? au wengine ndo mimacho vidondaa? Lakini kama huyu mtetezi...
Heshma kivipi mkuu? sema ni utaratibu wa pekee labda nao bado sio maana ni kitu cha kuiga tweke wazi acha porojo maana hazijengi kitu tueleze uhusiano wa siwa na hoja bungeni au siwa na spika. Au siwa na miongozo kama hamna tukubali tu kuwa siwa ni alama ya kuiga na haina msaada wowote wala...
Kaka unaonekana mfurutwa kama huna mahaba ya dhati na ujuha unaolifunika si tu bunge bali hata hao wanaoliongoza ila ni vema na haki yako ya kikatiba kama mnavyodai kwa lugha zenu kaka. Ila ukweli ni kwamba fimbo yenu hiyo haina maana yoyote. Kama ipo weka hadharani sio porojo tuu. Ingekua...
Nadhani amweke wazi na aongee kwa kuonyesha hisia zake zote bila hata ya lepe la maskhara ataeleweka pia ataelewa mbivu na mbichi kupiga chini sio solution nina mashaka na wanaoshauri namna hii hawafikirii kua tayari jamaa ana watoto wawili ndani ya miaka 4, akipiga chini atakua stressed zaidi...
SASA SAFI.
Wadau mimi japo mgeni humu ndani lakini nimegundua ukishaizoea hii Forum basi ikipita siku moja unakua kama umekula chakula kikavu halafu ukakosa maji. Hata ukilala unahisi kunakitu kimekaa vibaya ukija tahamaki unagundua hujapita ndani ya Forum. MTIHANI.
Nimegundua hili KAPU linloitwa CCM linavuja tena si kwa mtindo wa ndondo bali hii ni chururu. Na sasa ipo wazi kwa nini CCJ hili kapu jipya linakutana na vikwazo vingi " it's amazing things" kumbe kweli wafuasi wa KAPU hili jipya ni vigogo, kwa post hii sina utata tena. Kaka ZYANSIKU tunasubiri...
Habari zenu wakuu. Wasi wasi wangu nipale wanaposema siasa ni mchezo mchafu halafu ukachezwa na familia nzima, sisi wachumia juani tutapona hapa. Nadhani siku moja utakuta chama kuanzia mwenyekiti hadi wajumbe majina yanaishia na MARIJANI halafu kura zinapatikana kama kawa maana wale mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.