na wewe mtu mkubwa na akili yako unamsifia mtu lugha 'english' kipi ulichokiona kuwa anafaa kutangaza CNN ama FOX NEWS, je wewe huwa unaangalia na kusikiliza hivyo vituo kwa makini???? naona unaleta mambo ya bongo movie hapa! huwa unawasikiliza vizuri hao watangazaji kiasi kwamba unamlinganisha...
sasa cha kukushauri, hiyo simu iache hivyo hivyo usiifanyie kitu chochote tena,mpk hapo hicho kitaa cha kijanikikizima, kaa km siku tatu ama nne, then chukua charger original ya hiyo simu iweke kwenye charger,kama dk 2 hivi itoe, then iweke tena...utaona simu inareeboot yenyewe!!rudisha mrejesho!!!
achangiwe kwa lipi??? si ndo huyu huyu aliwahi kuonywa kuhusu kupost picha za ajabu mitandaoni???? na wewe mboni km huna akili unamtetea mtu mjinga??? hatukatai mtu kuugua basi uwe na hekima ktk jamii??? ni upuuzi tu, watu wangapi wanahangaika huko mitaani na bado wanapiga kelele...
achangiwe kwa lipi??? si ndo huyu huyu aliwahi kuonywa kuhusu kupost picha za ajabu mitandaoni???? na wewe mboni km huna akili unamtetea mtu mjinga??? hatukatai mtu kuugua basi uwe na hekima ktk jamii??? ni upuuzi tu, watu wangapi wanahangaika huko mitaani na bado wanapiga kelele...
asante sana hilo ndio jibu la huyo mnafiki!!!!! sijui katumwaaaa ama???? kuna watu wengine sijui km wanatumia ubongo ama akili kuleta maada hapa!!! laiti tungekuwa tunajuana....uso kwa usonafikiri wengine tungewapunguzatu humu jf!!! aliyeanzisha maada hiii ni ******!!!!! tena wa hali ya juu...
asante sana hilo ndio jibu la huyo mnafiki!!!!! sijui katumwaaaa ama???? kuna watu wengine sijui km wanatumia ubongo ama akili kuleta maada hapa!!! laiti tungekuwa tunajuana....uso kwa usonafikiri wengine tungewapunguzatu humu jf!!! aliyeanzisha maada hiii ni msenge!!!!! tena wa hali ya juu...
Bwana mshana! kwani unabishana na nani huyo anayeonekana kumtetea lemutuz!!!! unajua kuna watu wana akili lakini inaonekana akili zao walishazigawa labda mahali fulani....kichwa kimeback tupu!!!!
kuna watu tulikuwa watemi shuleni.....! mambo yakufagia,kuchota maji ya jikoni???? kazi yangu ni kuamka asubuhi maji nishaletewa na form 1, nakwenda kuoga nikimaliza..a paredi siendi...na hamna kiranja yeyote kuniandika....baadae naenda darasani... baada ya paredi.....eiiish...cant remember...
nafikiri unaongea aa tu bila kutumia ubongo wako!!! hivi wewe unajuanchi ilikuwa ktk taabu gani???ama unaongeakwa sababu umepewa uhuru wa kuongeaaa! tuulize sisi tuliowahikuishi huko zimbabwe!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.