Habarini ndugu zangu,
Mimi nina mimba ya mwezi mmoja lakin kuna utofaut niliona,nilianza kuumwa sana tumbo gafla afu damu zikaanza kunitoka.
Lakini nikaulza nilijibiwa ni kawaida damu inaeza kutoka kidogo wakati una mimba.
Cha ajabu damu ziliendelea kutoka kwa mda wa wiki nzima yani kama...
Yaaah kweli mama angu maan hata mimi nilitumia mda kweli kutwanga mpaka nikawaza hvi hakunaga mashine ya kusaga chenga cha mkaa?maana hapa nilipo mimikupata chenga. Ni rahisi sana kuliko maaranda
Na email zao sijui vipi yaan hata ukituma. Inafail tu yan had naona aibu mana tang juzi kuna mtu nmemwambia atume kila akituma inagoma yan had naonekana mzushi nikampm huyo mtoa mada anaedai meneja. Wa hapo n rafk ake kumuuliza mbna haisom email?nae yuko kimya yan vikampn vngne vya uchochoron...
Jaman msidharau jambo jaman huwez jua bahat yako imelalia wap mm nina rafik angu ameajiriwa hapo Crdb tena na diploma ya business admnistration na hakuna anaemjua pale yan hamuwez kuamni kaajiriw akiwa na diploma yake na hamjui mtu
Usikate tamaa ndugu kama ni rizik yako n yako tu hakuna atakaepangua nina rafiki angu kapata kazi crdb na amesoma CBE na hakuna anaemjua pale hata mmoja na cku amepata hakuamn alilia sana kwa furaha hvo kama una sifa we omba huwez jua bahat yako iko wap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.