Ni takribani miaka miwili sasa na ushehe tangia shirika la pride Tanzania kusitisha huduma zake za mikopo kwa kilichoelezwa awali kufirisika lakini chanzo kikubwa kikiwa ubadhirifu wa fedha uliofanywa na aliyekuwa mkurugenzi wa wake ndugu Malima ambaye mpaka sasa anatafutwa.
Shirika lina...
Jamani kama kuna yoyote ambaye aliwahi kupata tatizo la kuwashwa na kuvimba mwili na akapona kabisa atuelekekeze wenzie kwani tumeangaika sana hospitali tukiambie tuache kula vitu mbalimbali lakini haijasaidia sasa hivi tunapoza tu na cetrizene tupo watatu hapa iringa kesi yetu inafanana, msaada...
Kiukweli sitoki mapele ila ni kuvimba mfano ukinichola na kitu chenye ncha alama inatoka mle ulipopitisha kitu icho mfano nikioga nikijisugua mapajani kunatutumuka nikikaa kidogo kunapotea kunakuwa sawa,nazan umepata picha.
Jamani naombeni msaada,nina tatizo la kuwashwa mwilini alafu nikijikuna hiyo sehemu inavimba lakini baada ya dakika kadhaa panarudi panakuwa sawa na mda mwingine adi kichwani napakuna sana huku muwasho ukihama hama kadiri ninapojikuna na nilishawai kwenda hospitali fulani wakanipima wakasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.