Mwanafunzi wa chuo kilichoo maeneo ya Science anatafuta chumba cha kupanga ambapo anaweza kufika chuo kwa kupanda basi moja. Maeneo ya Riverside Kijitonyama yatapewa kipaumbele.
Nina Toyota Sienta 2004, Nina hisi radiator Ina matatizo. Namtafuta fundi wa ku repair radiator tafadhali.
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilivyooneshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
Wakuu,
Naomba msaada kwa mtu anayejua kwa hapa Tanzania ni Chuo kipi kinaendesha kozi tajwa hapo juu, yaani "conflict Resolution /Management " anijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwenye kujua vituo vya Watoto yatima hasa katikati maeneo ya Ukonga, Gongo la Mboto, Pugu au Chanika tafadhali naomba kuunganishwa na kamoja wapo. Asanteni.
kutoka: 22D Arnold st.
Wadau, jana rafiki yangu alikuja kwangu akataka nimwonyeshe namna ya kuwa na account ya jamiiforums, ili aweze kutaga zangazo lake. Tulifanikiwa kifanya registration
Sasa kila akitaka kuedit thred anaata messagehii
"Your membership in this forum is pendig forum admin approval. Please tryagain...
Wadau naomba msaada, nina binti yangu ana umri wa miaka 16.
Amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara.
Leo nimempeleka hospitalini amechukuliwa kipimo cha pylori na akaonekana na acid nyingi tumboni.
Kuna mwenye kujua tiba ya moja kwa moja ya tatizo hili hasa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.