Sijui kwanini umeandika rock up badala ya lock up
Lakini wanyarwanda ni wapuuz sana hivi mtu mmoja anakuwa mtemi wa nchi kwa miaka yote hiyo
Mbona sie yalivyotukuta ya mtemi wa ziwani watu walikaa kama kamati na shida ikamalizwa
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.