Habari za asubuh ndugu wana jf.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda...
Dili la Mshambuliaji hatar wa kameruni EMMANUEL MAHOP kwenda Yanga limeshindikana baada ya Yanga kutoweza fika muafaka na mchezaji huyo, inadaiwa swala zima la mkwanja ndio limeifanya Yanga kushindwa kufikia jambo hili.
Naona Yanga ikifunga goli below 40 next season maana hamna mshambuliaji wa...
Habari za jioni wana jf,
Kwa Takribani muda fulani sasa nimekua nikiona hii changamoto tunayoipata vijana wengi wa kitanzania.
Hii changamoto ni pale tunapotafuta mtu mpya wa kuwa nae katika maisha ya ndoa. Kila msichana unaekuwa nae mnaweza kuwa pamoja kwa miezi kadhaa lakini badae unagundua...
Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city.
Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
Baada ya wadau wasiofahamika bado kuwa ni kutoka taasisi ipi kugawa dawa za meno na miswaki kwa shule za.msingi Songea.
Leo imetoka taarifa kwa walimu wakuu kuwataka kuwaambia wanafunz hao warudishe vitu hivyo mara moja.
Bado haijajulikana zaidi kwann hili limekua hivi hadi sasa.
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana...
Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
Siku 3 za nabii mwamposa songea mjini, leo uwanja wa shule ya msingi matarawe umejaa kupita kiasi katika ujio wa baba mwamposa, tunaanza kumuelewa huyu mtumishi wa mungu.
Habari yenu wana jf.
Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
Ninayo mafuta ya alizeti lita zaidi ya 100, ninauza jumla na rejareja, lita moja Ni tsh 3000, mashudu meupe kilo tsh 70, Mawasiliano 0754,350,882, karibuni
Kama kuna first year aliyepata room mazmbu naomba tushare cost unibebE mwana jf mwenzako,, 0754350882,,, nitalipa ela yote uliyolipaa ww... Usitishwe na mkwara.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SUA ninasomea Bsc Education( geography& mathematics) ,natarajia kuingia mwaka wa 3..
kwa miaka miwili niliosoma nimejitahd kwa juhudi zangu kupata gpa ya 3.2, nilipokua mwaka wa kwanza sikua vizur sana nilipata gpa ya 3.0 , mwaka wa pili nilikomaa sana...
Katika harakati za kuendelea kuisoma namba,zoezi la bomoa bomoa limehamia mkoani Ruvuma wilaya ya Songea. Nyumba nyingi zimekumbwa ikiwamo benki ya NMB , kanisa jimbo kuu la Songea pamoja na ofisi za CCM na mkuu wa Mkoa.
Habari wana MMU,
Muda si mrefu uliopita nilikua nimekutana na mpenzi wangu katika harakati zangu za kujiona kiasi gani nipo fiti tangu niache puli.
Tulianza kuandaana kama kawaida lakini nikiri sikua na msisimko wowote ule wa kihisia, nimefanyiwa kila aina ya romance lakini hamna kitu, show...
Habarini za Jumamosi ndugu zangu,
Siku si nyingi nilileta uzi humu unaohusu siku 30 nje ya puli, niliendelea kutunza afya yangu vizuri lakini siku ya jana nilijaribu kuangalia tena kwa kiasi gani nipo fiti lakini mabaya yafuatayo yalinikuta;
(1)Nilifanya mapenzi kwa zaidi ya dakika 60 lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.