Search results

  1. Zingzingzing

    Jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa tunapoagiza bidhaa toka kwa watu wa Dar es Salaam

    Habari za asubuh ndugu wana jf. Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam. KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda...
  2. Zingzingzing

    Tetesi: Dili la Mahop kwenda Yanga lashindikana

    Dili la Mshambuliaji hatar wa kameruni EMMANUEL MAHOP kwenda Yanga limeshindikana baada ya Yanga kutoweza fika muafaka na mchezaji huyo, inadaiwa swala zima la mkwanja ndio limeifanya Yanga kushindwa kufikia jambo hili. Naona Yanga ikifunga goli below 40 next season maana hamna mshambuliaji wa...
  3. Zingzingzing

    Ukweli umuweka mtu huru: Kama vijana changamoto hii inatuathiri sana katika kumpata mwenza wa kuanza nae maisha ya pamoja

    Habari za jioni wana jf, Kwa Takribani muda fulani sasa nimekua nikiona hii changamoto tunayoipata vijana wengi wa kitanzania. Hii changamoto ni pale tunapotafuta mtu mpya wa kuwa nae katika maisha ya ndoa. Kila msichana unaekuwa nae mnaweza kuwa pamoja kwa miezi kadhaa lakini badae unagundua...
  4. Zingzingzing

    Clement Mzize abadili dini lakini nimeshangaa kumuona akipiga ishara ya msalaba baada ya mechi kumalizika

    Hii ilitokea baada ya mechi ya Mbeya city vs Yanga kumalizika juzi, ama kweli mazoea hujenga Tabia.
  5. Zingzingzing

    Kwa hali halisi ilivyo, Simba anaenda kumpita Yanga kwenye ubingwa NBC

    Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city. Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na Prison, Simba huyo kileleni, mark my words nimekaa pale.
  6. Zingzingzing

    Songea: Wanafunzi waliopatiwa dawa za meno za msaada watakiwa kurudisha mara moja

    Baada ya wadau wasiofahamika bado kuwa ni kutoka taasisi ipi kugawa dawa za meno na miswaki kwa shule za.msingi Songea. Leo imetoka taarifa kwa walimu wakuu kuwataka kuwaambia wanafunz hao warudishe vitu hivyo mara moja. Bado haijajulikana zaidi kwann hili limekua hivi hadi sasa.
  7. Zingzingzing

    Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

    Habari za usiku wana JF, Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia. Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana...
  8. Zingzingzing

    Kama kweli hisi tetesi za kumsajili thomas ulimwengu ni za ukweli, basi usajili wa kukurupuka hutoisha.

    Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
  9. Zingzingzing

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema. Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
  10. Zingzingzing

    Songea: Umati mkubwa sana (haujawahi tokea) katika mkutano wa MWAMPOSA , huyu ni nabii haswa

    Siku 3 za nabii mwamposa songea mjini, leo uwanja wa shule ya msingi matarawe umejaa kupita kiasi katika ujio wa baba mwamposa, tunaanza kumuelewa huyu mtumishi wa mungu.
  11. Zingzingzing

    Nina sarafu za sh 100, 200 na 500; natafuta wa kubadilisha na fedha za noti, au kwa anayejua utaratibu

    Habari wana JF, kutokana na shughuli nazofanya inanilazimu kupata pesa kama hzo, msaada mwenye kujua wapi naweza badilisha. NIPO SONGEA, 0623 306 403
  12. Zingzingzing

    Kwa upande wako unaweza toa Tsh milioni 2 upate kazi ?

    Habari yenu wana jf. Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
  13. Zingzingzing

    Mafuta ya alizeti na mashudu meupe yanapatikana songea mjini

    Ninayo mafuta ya alizeti lita zaidi ya 100, ninauza jumla na rejareja, lita moja Ni tsh 3000, mashudu meupe kilo tsh 70, Mawasiliano 0754,350,882, karibuni
  14. Zingzingzing

    Kwa first year aliyepata hostel mazimbu, Chuo Kikuu Sokoine

    Kama kuna first year aliyepata room mazmbu naomba tushare cost unibebE mwana jf mwenzako,, 0754350882,,, nitalipa ela yote uliyolipaa ww... Usitishwe na mkwara.
  15. Zingzingzing

    Wadau wa Elimu naombeni ushauri kwa hili linalonitatiza.

    Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SUA ninasomea Bsc Education( geography& mathematics) ,natarajia kuingia mwaka wa 3.. kwa miaka miwili niliosoma nimejitahd kwa juhudi zangu kupata gpa ya 3.2, nilipokua mwaka wa kwanza sikua vizur sana nilipata gpa ya 3.0 , mwaka wa pili nilikomaa sana...
  16. Zingzingzing

    Bomoa bomoa yahamia Songea, Jimbo kuu la Songea na ofisi za Mkuu wa Mkoa zakumbwa

    Katika harakati za kuendelea kuisoma namba,zoezi la bomoa bomoa limehamia mkoani Ruvuma wilaya ya Songea. Nyumba nyingi zimekumbwa ikiwamo benki ya NMB , kanisa jimbo kuu la Songea pamoja na ofisi za CCM na mkuu wa Mkoa.
  17. Zingzingzing

    Kwa mara nyingine tena, leo nimethibitisha puli ni mchezo hatari sana duniani

    Habari wana MMU, Muda si mrefu uliopita nilikua nimekutana na mpenzi wangu katika harakati zangu za kujiona kiasi gani nipo fiti tangu niache puli. Tulianza kuandaana kama kawaida lakini nikiri sikua na msisimko wowote ule wa kihisia, nimefanyiwa kila aina ya romance lakini hamna kitu, show...
  18. Zingzingzing

    Kamanda Sirro awasili Manispaa ya Songea; tunakukaribisha pia Mheshimiwa Rais

    IGP simon siro awasili manispaa ya songea kwa ziara ya kikaz leo asubuhi kwa usafiri wa helicopter,,karibu songea pia
  19. Zingzingzing

    Mrejesho namba 2: Siku 45 nje ya puli, aibu hii itaisha lini?

    Habarini za Jumamosi ndugu zangu, Siku si nyingi nilileta uzi humu unaohusu siku 30 nje ya puli, niliendelea kutunza afya yangu vizuri lakini siku ya jana nilijaribu kuangalia tena kwa kiasi gani nipo fiti lakini mabaya yafuatayo yalinikuta; (1)Nilifanya mapenzi kwa zaidi ya dakika 60 lakini...
Back
Top Bottom