Aaaah Radhia, kwa cheo, uwezo na Elimu ya huyo DC alipashwa tambua kua yeye ni sehemu ya suluhisho na c tatizo. Kufunga chuo ni janga, wanafunzi waende wapi? Hao anawafungia shule ndo mabos zake. Au kwakua yeye analipwa hela asizo zitolea jasho???!
Hiki ndicho wakitegemee, wao wenyewe wezi sasa wanashangaa nn kuibiana?!
Na polisi c kuwa wapo busy na chadema tu! Bali kulinda familia za mafisadi, kuua wanyonge na kuwanyang'anya haki zao, kusafirisha maliyasili za nchi hii, kuwaficha majangili (wageni) toka nchi za nje huku wazawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.