Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu
Familia 2 zilizokuja duniani ndizo Hadi Leo tunaziabudu baada ya wao kuondoka na kutuachia mambo...
Binadamu ni project au mpango wa viumbe wa sayari ya mbali ambao walimtengeneza binadamu kwa ajili ya kazi yao ambayo ilikuwa ni kufanya kazi katika migodi ya dhahabu.
Sayari ya Dunia Ilivyotokea na kuwa kitovu cha dhahabu (A Planet Of Gold)
Kabla ya miungu ya juu haijakuwapo. Sayari ya Ki...
Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl...
Waziri Bashe tumeona kwa miezi kadhaa umezindua program inaitwa BBT (Building Better Tomorrow), ambayo itafanywa na wizara ya Kilimo kwa ajili ya vijana , hii ni Kuingilia majukumu ya Wizara ya VIJANA, AJIRA ,KAZI na WATU WENYE ULEMAVU.
Hii unayofanya kwenye BBT ni Skills development na Capital...
Habari wakuu,
Nina shamba langu maeneo ya Morogoro, Melela kama eka 10 hivi, sasa kwenye lile shamba wakati ninalisafisha kuna mwamba umeonekana wa dhahabu wao wanaita mwamba dume na wadau wakazidi kusema palipo na mwamba dume, mwamba jike uko karibu maana miamba inatembea pamoja.
Hivyo...
Habari zenu wakuu
Jana jioni katika viunga vya Jiji la Arusha , Nilikuwa na jamaa yangu ametoka Dar , sasa kafanya mizunguko yake ya shughuli za kiserikali zilizomleta Arusha , kamaliza jioni nikaamua Nimepeleke pale kituo cha mafuta PANONE -NGARENARO ili amwage oil
Sasa jamaa wa pale Panone...
Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili...
Leo ni siku ya mapumziko hivyo nikapata wasaa wa kupitia kitabu kitakifu -Biblia
Katika kitabu cha 2 Ufunuo , 2:9
Inasema " Naijua dhiki yako ya Umaskini wako (Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi ,nao sio Bali ni sinagogi la shetani "
Hakika haya maneno...
Kama kichwa cha habari kisemavyo , Leo nimetua dsm baada ya kutoka mapumzikoni huko magharibi mwa afrika
Jiji limetulia tulii ,na mabadiliko kadha wa kadha ,
Nimeamua nipumzike hapa ,kujiandaa na safari ya kwenda Mwanza
Kwa yeyote aliyepo , dsm , tuonane tubadilishane mawazo , ya hapa na...
Wanabodi, kama kawaida ya wapindisha mambo na kutoufahamu ukweli wa teknolojia hasa ile video ya awali iliyosambaa kwenye mitandao ,ambayo ilikuwa imehaririwa kwa kutolewa kipande cha Mkalimani.
Hii hapa inaonesha uhalisia.
Nashauri tupende kuficha udhaifu wetu na chuki kabla ya kufahamu...
Nawasalim , wana bodi hasa katika hili jukwaa la celebrities,
Ni muda mrefu toka niache kufatilia muziki huu wa kibongo hii ni kutokana na kukosa mashairi yenye kuvuta hisia kwa jamii ,Mara ya mwisho ilikuwa namsikiliza Roma Mkatoliki na Nyimbo zake zikizokuwa na harakati za kimapinduzi hasa...
Habari Wakuu
Leo katika ufunguzi wa Call Center , pale viwanja vya Biafra , tuliona jamaa mmoja mwenye asili ya kiarabu akipewa cheti cha appreciation kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Superdoll iliyoko Barabara ya Nyerere Kitalu Namba 14, jirani kabisa na Quality Centre,
Wakati tuko tunashuhudia...
Kwanza nianze kwa kukupongeza Waziri mkuu KASSIM MAJALIWA namna unavyokula bega kwa bega na wazembe kazini,
Baada ya salamu Waziri mkuu, kwa sasa una ziara ya kikazi katika kanda ya ziwa na tetesi ni kuwa 9/03/2016 utakuwa katika mkoa wa kagera wilaya ya missenyi hasa katika kiwanda cha sukari...
JK NA RAIS MAGUFULI TUMBUENI UONGOZI WA JUU NA KAMATI YA URATIBU SHIRIKISHO ELIMU YA JUU.
Ugatuaji wa madaraka uliotumika na kikao cha kamati ya uratibu Shirikisho (CCM), kilichoketi 17-18/12/2015 unasikitisha kuona namna chama kama taasisi kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu , na kupeana...
Habari Wakuu, hii ni special thread kwa watu wote waliopita:na wanaoendelea na masomo kwa sasa Tarime sekondari kwa O level na A level, toka ikiwa mchanganyiko mpka kuwa ya wavulana pekee , tukumbushane, tuelimishane na tutambuane tuko wapi kwa sasa na tunafanya nini , na je kina nani wameshika...
Bilionea wa Tanzania, ndugu Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Kesho 28/08/2015 UKAWA watazindua kampeni zao pale Jangwani na kumtambulisha mgombea wao ndugu Lowassa, kama mtanzania wa kawaida nikiwa huku kijijini Nanjilinji Kilwa , nilipata kusikia toka kwa viongozi wangu wapendwa wa CHADEMA/ UKAWA ambao ni Dr. Slaa Katibu mkuu CHADEMA na John Mnyika Naibu...
Dr Magufuli ni miongoni mwa viongozi wachache duniani waliosoma Sayansi na Kui apply elimu kwa vitendo katika uongozi , moja ya sifa kuu ya mwanasayansi ni kufanya tafiti , hili Dr Magufuli alilitekeleza kwa vitendo kwa kuzunguka kwenye mizani mida ya kushtukiza na kukagua uendeshwaji wake na...
Dr MAGHUFULI ANAEPAMBANA NA WAGOMBEA WENYE UWEZO MDOGO(DHAIFU)
Episode 2
Dr Maghufuli , ni kiongozi mwanasiasa na mwanasayansi nguli ambaye naamini atachaguliwa kwa kishindo kuwa Rais Wa 5, ataweka historia katika nchi za kiafrika na Tanzania kupata Rais mwanasayansi .
Dr Maghufuli , ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.