Naomba tofauti kati ya hivi vitu.
1. Xyz limited vs investment vs enterprises
2. Public vs government companies
3. Process of assigning company to stock market eg DSE
Ifuatayo ni aina mbili za watu maarufu kuhusu misimamo yao juu ya ya Dp World.
Watakao kataaa mwanzo mwisho suala la bandari.
1. Dr Salaa
2. Fr. Kitima
3. Mwanasheria wa Mbeya
4. Askofu Mwamakula
5. Prime Minister
6. Lukuvi
7. Warioba
8.Siro
9. CiC mstaafu
10. Shivji
Wafuatao ni...
CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;
. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa...
LUCKDUBE shukrani zaidi....nimekupata nami nimeelewa..
Usinichoke tena.
1: Je, Kuna uwezekano nikakaa sehemu nipate kuchunguza/observe namna ubongo wng unavoperfom various tasks? Whether theoritically or in practice.
Lengo hasa nipate kuona ule upimbi wa fikra au mawazo yanavokosa focus Mana...
Mkuu nna maswali Ila natanguliza shukran...
1.Nataman nijue uhusiano wa ubongo na addiction eg gambling sex drugs alcohol.???! .naamini utatusaidia wengi hp
2. Je,kumbukumbu zinapungua kadri umri unavoenda??? Mi nlikuwa mwandishi mzuri wa spellings Ila sasa hivi nazisahau
3; Kuna uhusiano Kati...
Ndg zangu tulofaidika na kupata ukombozi kutoka kuaminishwa tango pori, mikono juu tafadhali.
Kwa sasa hivi Niko ktk stage yaku observe the naked facts with evidence. Sina haraka. But from a distance I can smell the forbidden facts.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.