Unaweza kuwa urafiki wa mashaka maana wawili hawa wana ideologia tofauti. Odinga ametoka katika familia ya matajiri na ni watu wanaoamini katika ubepari wakati magufuli anaamini maisha ya kuishi pamoja na kugawana kidogo tulichonacho kugawana wote
joy p0
Huyu mama anastahili pongezi kwa kusimamia ukweli haina maana kwa sababu wewe ni mtoto wa rais basi uwe unaenda bendera fuata upepo. Acha nyeusi iitwe nyeusi i personally support you
hizi sinema huwa nazipendaga sana maana mwishowe utasikia adhabu yake atafanya usafi hospitali ya mwananyamala. Mungu ibariki africa mungu ibariki Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.