Tarehe 23 wakati wa ufunguzi wa mikutano ya kisiasa pale Mwanza mheshimiwa mwenyekiti alipwaya Sana. Alionesha ni kwa namna gani anashindwa kutumikia mabwana wawili. Uso wake ulionesha anatamani uanaharakati lakini makubaliano na mama yanamkaba. Alikua anapata shida maana akisifia serikali...
Ndugu wanabodi wakati kombe la Dunia likielekea ukingoni Kuna vitu vimenivutia. Baadhi ya vitu hivyo ni watangazaji na wachambuzi. Hapa unakutana na NAZARETH UPETE Kama mtangazaji na huku RAMADHAN MBWADUKE Kama mchambuzi.
Hawa jamaa ni hatari na nusu hasa mchambuzi anakuchambulia wachezaji...
Katika maisha Kuna kuzaliwa, kuishi na kufa. Tuyaache yoote twende kwenye kufa, hapo tutulize vichwa na kutafakari. Kuna ulazima wa kusafirisha?
Mtu akifa hasa akifia hospital, au fikiria sehemu yoyote mbali na nyumbani. Au ni mpambanaji tu labda amezaliwa Mbarali-Mbeya lakini anaishi Mwanza au...
Habari ndugu wananchi wa jamhuri ya Ukraine na Urusi.
Nitangaze kuwa Mimi Ni mdau mkubwa wa vipindi vinavyorushwa na startime's channels St Swahili na St Mambo.
Kilichonileta hapa jukwaani Ni kutokana na kile kilichotokea Jana kwenye mchuano wa Mang'endo na Kiredio. Kwenye ule mchuano...
Binafsi ni miongoni mwa wahitimu wa shahada ya elimu wa mwaka 2017. Katika kipindi chote Cha kusotea ajira nilijikita kwenye kilimo champunga, huku nikitafuta kazi yakufindisha bila mafanikio.
Kuna jamaa ambao waliingia kwenye biashara na wengine wakitafuta center na kujishikiza huko.
Baada...
Madibira AMCOS inahitaji mitambo ya ujenzi wa bara bara. Mitambo hiyo ni excavator, tipa, boza, rola(sindilia) na greda.
Mkodishaji awe na uwezo Wa kutoa risit za EFD na awe na leseni ya biashara.
Kwa kampuni, taasisi au mtu binafsi anaemiliki mitambo ya kukodisha aandike barua na kuituma...
Nawasalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugu zangu mheshimiwa Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliunda tume ya Corona.
Taarifa ya tume imepokelewa Jana na wengi wanaendelea kutupa mrejesho ya kile kilichopo kwenye tume.
Naomba niseme taarifa ile sio yakwetu...
Huu ni uzi utakaobeba mambo mengi kama sio yote kuhusiana na kilimo cha mpunga nchini Tanzania.
MPUNGA
Hili ni zao la chakula linalolimwa kwa wingi kwenye maeneo ya ukanda wa joto.
Zao hili linastawi zaidi kwenye udongo wa tifu tifu na eneo lenye maji ya kutosha. Baadhi ya maeneo (,Mikoa)...
JE, SERIKALI HAIYAJUI MAKAMPUNI YA KITAPELI TANZANIA?
*Soma hadi mwisho Usijetapeliwa*
Kufa Kivyako na Koma Kutulaghai Wenzio ukitushawishi kujiunga na hizi E- Commerce; QNET, H2I, GLOBAL ALLIENCE, FOREVER LIVING; D9 nk
E-commerce ( électronic commerce) maana yake ni ile hali ya kuuza na...
Poleni na vifo vitokanavyo na tatizo la kupumua na hongereni kwa jitihada mnazozionesha za kuitokomeza covid19.
Turudi kwenye mada
Vijana hawa mama zenu wanaohangaika kila siku na maisha wasaidieni. Yaani unakuta kibinti badala ya kumsaidia bibi yake hata kuni tu shida. Kutwa kipo Facebook...
Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
Baada ya kupata Maneno ya wadhamini tuendelee na mada yetu.
Toka shule zifunge ni kama mwezi mmoja na nusu. Sote tunajua...
Kila karne, hususan katika kilele cha kipindi kinchoishia '20' dunia inakumbwa na maradhi makubwa ya kufisha? Yaani namaanisha: 1120, 1220, 1320, 1420, 1520, 1620, 1720, 1820, 1920, 2020, 2120.
Mwaka 1520 kiliibuka kile kile kilichoitwa Mexican Smallpox, Robert Rotberg katika ukurasa wa 107 wa...
Haya ni maneno matatu ambayo hufanya kazi moja. Kazi kuu ya maneno haya ni kuongeza maelezo ya ziada katika jambo. Hutoa taarifa ya ziada au kukazia taarifa ya awali.
Katika jamii kuna mazoea ya kutumia maneno hayo katika sentensi moja. Si mara moja kusikia watu wakitumia neno "lakini...
Leo jumatatu ya tarehe 23/12/2019 mwanaume mmoja amejikuta mikononi mwa polisi kwa kosa la kumuua mke wake kwa kumpiga na shoka kichwani.
Mwanaume huyo ameishi na mke huyo kwa miaka zaidi ya mitano na wanamtoto mmoja. Kisa kipo hivi:
Jamaa alikuwa akiishi na mkewe katikati ya mji. Kuna mtu...
Wale wanaohitaji kuzielewa power tiller karibuni.
Uzi huu utatumika kujibu maswali na majibu ya wadau ambao wamekua wakiniuliza mara kwa mara.
Kuna aina kuu mbili za power tiller yaani Long hand power tiller na Short hand power tiller.
LONG HAND POWER TILLER
Long hand power tiller ni zile...
Habari wanajukwaa
Kwa wahusika wachangamkie fulsa hii ya kiuchumi.
Nimeileta humu kutokana na uhaba wa vitendea kazi katika shamba hili. Shamba hili linamilikiwa na sisi wananchi kwa 100% na ushirika wetu wa MAMCOS LTD(Madibira Agricultural Marketing Co-operative Society Limited.
Shamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.