Ni migomo,maandamano hakuna masomo tena. Chuo kikuu cha Dodoma College of Social Science na Humanities wamegoma kuingia ma darasani tangu ijumaa,kisa wanafunzi wa chuo hawaruhusiwi kwenda Field-amazing!
Hili ni jukwaa la SIASA, haya mambo peleka kwa ma-celebrities siyo hapa. Wenzako tunatafakari bajeti na ndoa kati ya CCM,POLIS, MAHAKAMA na DOLA we unaleta mambo ya BBA,jiangalie bwana!
Kukamatwa kwa mbowe kumeendelea kudhihilishia utawala kuwa watanzania wako bega kwa bega na Chadema. Hii inatokana na maoni ya watu mbalimbali kulaani na kupinga kitendo cha viongozi wa kuu wa Cdm kukamatwa hovyo hovyo,kimsingi serikali makini kwa kutumia vyombo vyake inatakiwa ipime na...
Chuo kikuu cha Dodoma katika college ya Sayansi ya jamii(College of Social Science and Humanities) wamegoma kwa sababu hakuna huduma ya maji hapo chuoni kwao pia wanadai waruhusiwe kufanya Field,maana chuo kimewaambie hawatafanya field bila maelezo ya kutosha.....hadi mda huu njia ya kuelekea...
Mimi ni mmoja kati watu wanaofahamu siasa za Arusha......Godbless Lema ni mmoja kati ya vijana wanao kubarika Arusha tena kwa lika zote...Huyu jamaa anajenga hoja ile mbaya huwezi kum-compare na akina Batilda Salha Buriani AU lyimo.
Jamaa anajenga hoja kama akina zitto,slaa,Mpendazoe na wengine...
Habari kutoka Buasanda zinasema mbunge aliyemaliza mda wake LOLENSIA(CCM) tayari imedhibitika hawezi kushinda kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.....na badala yake wananchi wa Busanda wamejiandaa kumchagua kijana wao FINIAS MAGESA (CHADEMA).
Habari zaidi zinasema alishinda uchaguzi mdogo last yr...
Magesa yupo na anasubiriwa kwa hamu sana huko Busanda,na kama sheria ya uchaguzi itafuatwa basi uwezekano wa kushinda ni mkubwa sana...tena sana. Kuhusu kushindwa uchaguzi, siyo kweli kwamba alishindwa,Hope unajua mizengwe ya CCM na kama ulifuatilia uchaguzi ule utakumbuka kwamba ilifikia hatua...
Safi sana Good idea......pamoja na hao pia hawa wafuatao naona ni mhimu sana kwa bunge lijalo
1.MAGESA Finiasi (BUSANDA)
2.DAVID kafulila (KIGOMA-KASKAZINI)
3.KINABO (ROMBO)
4.MREMA (VUNJO)
5.NDESAMBURO (moshi)
Let us know after election.......Hope utashinda jipange and take care si unajua Tanzanian politics....Iwill check with you during u'r campaign ,keep it bro!!!!!!
Thats what I was looking.......Its all about challenges.
What can you say about Zitto's statement that he still looking for the constituency? yes, bado hajafanya confirmation where to contest.
Everyone knows Tanzanian politics,unaweza tangaza leo nagombea sehemu fulani then next day unaitwa...
Ninaitwa Bandora ni kijana niliye tayari kwa kulitumikia taifa langu....Baada ya kutafakari kwa mda mrefu juu ya namna ya kulitumikia taifa hili nikaona njia iliyo rahisi na wazi ni kupitia nafasi ya Ubunge.
Sababu kuu ni:
...Kwanza ninasifa zinazo takiwa kuwa mbunge.
...pili ni naamini ili kuwa...
Ndiyo maana watu wengine tunakuwa wagumu kuamini kama kweli hawa wanadhamira ya kweli.
Hii inaonesha rais na serikali yake wameridhika na kulewa madaraka tuliyo wapa,nadhani kwakuwa wanajua wataiba kura,then watashinda na kuingia madarkani tena (inawezekana)......Lakini I alwayz believe in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.