Kazi kusema wanawake tu,je na wanaume wanaonaenda kuoga na sim kwenye bukta!na wakati wa usiku yupo busy na cm muda wote ukiuliza anadai anafuatiria mechi!KWA UFUPI HAKUNA MSAFI WOTE TUNA MAPUNGUFU.
Kwakweli inaudhi sana yaani airtel wanakata hela bila mpangilio unakuta umeweka vocha ya elfu moja ukajiunga na kifurushi cha 499,ukiangalia salio unakuta ile iliobaki wamekata yote tena unatumiwa msg ya mwananchi sijui mechi fulani imefungwa mara mchezaji furani kafanya vile,jamani mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.