Mwalimu aliwauliza wanafunzi darasani swli 'nini chanzo cha mwanadamu?majibu yalikua 50 kila mwanafunzi alitoa jibu lake hii ni kwasababu mwalimu hakutoa maana ya mwanadamu hii ilifanya kila mwanafunzi kutoa jibu lake, kosa hili alilofanya mwalimu lilimfanya ajiulize swali gumu lililomchanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.