Sasa na wewe uoni aibu a third world country kuifananishabna first world country alfu sasa hiyo first world country inawatu billion 1.3 zidi ya watu million 60..
Duh..
Nilitumia nguvu, akili, pesa kujenga maisha ya ndoto yangu familia ya ndoto yangu..
Nilipo pita Nyakati ngumu kila kitu nilichokuwa nacho kilipotea kuanzia mali, mke na watoto.
Inauma sana..
Sasa nipo peke yangu nimerudi kukaa gheto walah kutoka nyumba zima self.!
Kwangu maisha hayana maana...
Mm nilishafanya nikapiuiwa na simu kuwa nimefanya vizuri then nikaambiwa subiri tutakujulisha muda wa kuriport basi toka 2020 hadi leo nasubili jaman🤣🤣🤣🤣
Wewe uliyenipiga tikitaka kwenye hiyo position pale utumishi mungu anakuona mm bado najitafuta hadi sasa.
Gdp yetu imeshuka si ilikuwa 85..
Alafu kwanini Ethiopia gdp yao inakimbia sana wameshafika 205.. juzi tu walikuwa na 185 kitu gani kinawang'arisha hivo..
idadi nimekupa ndogo alafu hakuna kampuni kubwa itakuuzia sms 1000 au 500 iyo bei ni utapewa sms kuanzia million 2 sasa wewe unaweza kununua sms million 2??
Utofauti upo angalia mfano wa sms nilioweka hapo..
Wewe ukijiunga utatuma sms kwa no yako tu mimi natuma kwa send id ya jina la biashara yk. Mfano sms za promotion unazopata kwenye simu yk.
Inasikitisha sana watanzania wengi tunatumia akili sana kudhulumu au kuchukua pesa isio halali ila hatutumii akili hiyohiyo kujiletea maenddleo km nchi
Sijui nani ametuloga isee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.