Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto.
Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa...
Kuna yule bwana alikula tunda kimasihara aliahidi kuielezea kwa utulivu zaidi pliiiz timiza ahadi yako ndugu kua muungwana
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Bila salamu nijielekeze moja kwa moja kwenye mada
Kama binadamu (sio robot) leo nimeona nitimize wajibu wangu kuongea machache yanayohusiana na sakata la hizi bandari zetu
Kwanza kabisa niwakumbushe watawala wote (hasa wale wa ngazi zinazonyenyekewa) akiwemo Rais wa jamhuri ya muungano wa...
We really respect every single dot of our holly scripts, we dont care whether the word will move on to shit you said or what!
One thing you need to know we are not basing on the ACTION they do to the Qur'an we only need to be respected because the question of qur'an in the gadgets is nothing...
Tumia akili bwa mdogo bibi yangu kule manyovu kigoma hawezi kuiona wala kuihisi Nitrogen au carbon monoxide basi ndio uwe uthibitisho kwamba gesi hizo hazipo kwenye hewa yetu/mazingira yetu?? Wewe ndio uprove wrong sisi tunaoamini uwepo wa mungu with evidence
Sent from my M100 using JamiiForums...
Kwa waislam Mungu (Allah) anathibitisha yeye mwenyewe ndiye kaumba huo ulimwengu na sisi walimwengu kiufupi wewe mpinga haya ndiye unatakiwa uje na uthibitisho kwamba si yeye Allah aliyeumba... Na jinsi ulimwengu na walimwengu walivyo systematic ni dhahiri yupo super Engineer (mmoja) aliyefanya...
Mkuu unaweza ku share na mimi ni kanuni zipi za kilimo napaswa kufuata ili nipate hizo gunia 40-45 kwakua hua napata 10-15 kwa ekari mbegu natumia dk space natumia 75 kwa 30 situmiagi mbolea kwa kua eneo nililopo kuna rutba ya kutosha
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Alijistukia baada ya kuwapa wagalatia shule zaidi ya kumi za umma kua vyuo vikuu vya kikristo akajipapatua kuwapa waislam majengo kuu kuu ya Tanesco morogoro kua chuo kuhusu makao makuu ya bakwata hakujenga magufuli ni mfalme wa Morocco alitoa pesa yake kufanya hivyo
Sent from my M100 using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.