wewe ***** kweli! unafikiri Intern hawezi kwenda kufanya internship botswana na akalipwa kama intern wa botswana? kwa taarifa yako hapa tanzania maintern sio wote raia wa tanzania, lakini wote wanalipwa sawa na serikali yetu, ndio utaatibu wa kila sehemu!
UZURI WA HAYA MAMBO HUA YANAKUJA KUONYESHA NI JINSI GANI SERIKALI YETU INATHAMINI WATU WAKE! YAANI KAMA WEWE NI MBONGO TU, BASI MBELE YA SERIKALI MAISHA YAKO HAYANA THAMANI! VIONGOZI WETU WAKO TAYARI KUTUMIA MABILIONI YA MAPESA KUWALIPA WATU WA NJE, ILA KUKUBALI KUWA WATAALAM WETU NA MAZINGIRA...
****! Kaa, uangalie mgomo huu, ujifunze WEWE, sio ujaribu kuwafundisha wao (madaktari).
Huu sio mchezo, sio mambo ya kufuata sheria zilizowekwa na huyo ambaye unamgogoro nae. Hii ni REVOLUTION!
haina shida mkuu! everyone is entitled to his opinion even though he/she might be a fool!
elewa kwanza system nzima ya afya, ngazi za wafanyakazi na kila ngazi inafanya kazi zipi.....
Assistant Medical Officer ni mtu ambaye yuko traine kumassist Medical Officr (MO) ambaye ndio anajua jinsi ya...
hakuna lolote!
serikali yetu inatumia silaha ya kuwa kama huwezi kugoma then hawana haja ya kukusikiliza! madaktari hawana option nyingine kwa sababu wanakabiliana na serikali hii ambayo inaweza kuexist kwa sababu ya watu wenye akili kama zako gimmy's! waache wagome, kwani watanznia wataofaidika...
binadamu anayeishi kwa ajili ya leo hana mipango ya kesho wala keshokutwa, akipata kipande cha mkate leo, anatafuta pa kulala! je watoto wake pia watakuwa kama yeye kwa makosa yao au ya kwake yeye mzazi wa leo ambaye anangngania mkate wa leo tu?
pole sana sana! CCM wote mafisadi? basi ukiwa nje ya nchiunaweza sema watanzania wote ni wezi! ufikirie kabla ya kuandika jaman! mambo hayani mazito... yanaeda mbali kuliko uanachama wa kisiasa, ni mambo ya kitaifa!
kazi kweli kweli! hivi mnafikiri kuwa madaktari wamezagaa zagaa mtaani wanatafuta ajira? guys, remember one thing, these are highly qualified proffessionals! tushukuru mungu safari hii kwenye mgomo wao hawana mpango wa kuondoka nchini waende nchi zingine kufanya kazi (eg. Rwanda tu wanapewa...
huyu ni ***** tu! hata kingereza chake ni broken, anatuletea sisi watu wazima hapa! (huwezi kusema intellectual yao ukitumia simple grammar, aende akarudie madaftari yake ya shule ya msingi kabla ya majigambo na kingereza chake cha ugoko!)
kama wana hizo pesa za kuwalipa hao madaktari wa Russia (ambao kipato chao ndani ya Russia ni kikubwa kuliko cha madaktari wa Tz, pia mazingira yao ya kazi ni bora zaidi.... Take it from me!) pamoja na hao wa Cuba, kwa nini wapoteze hizo pesa? kwa ajili ya thamani kubwa sana ya Mponda na Nkya...
i deslike your post because it is a LIE! yaani watanzania kudanganya tunaona kudanganya ni kitu cha kawaida sana, hata kama kinaweza kumcost mtu maisha yake, alimradu tu wewe upate maslahi yako! mweeee! nakuonea huruma salas, people like you are worthless!!
MGOMO UPO, nimeushuhudia mwenyewe leo...
huyo silent burner naona anaongea kama kasuku! hivi hujui kuwa nchi jirani ndio zinazoongoza kwa kutuibia madaktari wetu kwa sababu wao hawana madaktari wa kutosha? sasa hao wa kutoa huduma za dharula watoke wapi? na huko kwao atabaki nani wa kuwatibia wananchi wao? u r full of ****! mambo ya...
huyo silent burner naona anaongea kama kasuku! hivi hujui kuwa nchi jirani ndio zinazoongoza kwa kutuibia madaktari wetu kwa sababu wao hawana madaktari wa kutosha? sasa hao wa kutoa huduma za dharula watoke wapi? na huko kwao atabaki nani wa kuwatibia wananchi wao? u r full of ****! mambo ya...
hivi wewe una akili timamu ama ndio makasuku mliogundua kutumia internet juzi juzi? kabla hujacomment kwenye mitandao ya kiutu uzima uwe unafanya research ya kuendeleza upeo wa akili yako!
hivi unajua katiba imempa nani dhamana ya afya ya mtanzania? kasome katiba ndio uje useme nani anatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.