Urasi ni moyoni sio nywele...na according to waasisi wa Rastafarianism ni kuwa Mtu mweusi yeyote mpenda amani ni Rastafarian....wazungu,wafilisi na wapenda vita ni babilonians
Mtu anaweza kuwa kipara ila real Rastafarian.
Kuna paja na kapaja,kuna mwanamke na jike...yaani kuna PAJA ukiliona mkuu lile lenye vipelepele kama kuku aliyechunwa manyoya....hata nikikeshea mwaka mzima sikinai
-sasa kuna vile vipaja havina hata upele wala unyoya then ngozi kavuu...imepaukaaa hata kusimamisha mpk uvute hisia kwa masogange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.