Mfalme Nebukadreza alijaribu kuwashurutisha wananchi wake waiabudu sanamu y'a dhahabu ambayo ilikuwa ndio mungu wake, lakini walikuwpo wale wale walomjua Mungu wa kweli wakagoma
Miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kwenda kumjulia hali TL speaker alipaswa awemo. Too late, aibu tupu, as a manager mfanyakazi wako anapata ajali mbaya anakimbizwa hospital ICU na yupo huko miezi mitatu eti umekosa hata siku moja ya kwenda kumjulia hali?
Huku kusini na hasa Mtwara, ni wazalishaji wakubwa wa zao la korosho ambalo linaliingizia Taifa fedha nyingi. Kuna barabara inayo unganisha Wilaya za Tandahimba, Newala na Masasi.
Ni ukanda wa kiuchumi, barabara hii kipindi cha masika inapitika kwa shida sana. Kila mwaka wanadanganya kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.