Naona Ukraine hapa kamchagua Roman Abramovic sababu zinaiva na Putini.
---
Russian billionaire businessman Roman Abramovich, who owns Premier League football club Chelsea, has accepted a Ukrainian request to help negotiate an end to the war in Ukraine, his spokesperson said.
Word of...
Habari zilizofika hivi punde ni kwamba, shambulio la anga lililolenga wanamgambo wa Taliban laua raia wasio na hatia zaidi ya 60.
=====
US strike targeting Taliban commander causes civilian casualties
More than 60 civilians were killed or wounded in a US drone attack targeting a top Taliban...
Source BBC swahili.
Uamuzi wa rais Donald Trump wa kumuua Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya Qudsi vinavyoungwa mkono na Iran umesababisha msururu wa maafa ambayo yameanza kushuhudiwa.
Kwanza ni vita ambavyo havikukamilishwa vya kupambana na makundi ya jihadi.
Mara mauaji hayo...
Baba mlezi wa IS awasaidia watoto zake.Alafu kuna watu wanadai US anapambana na Ugaidi.RIP Soleimani.
............................
Uamuzi wa rais Donald Trump wa kumuua Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya Qudsi vinavyoungwa mkono na Iran umesababisha msururu wa maafa ambayo yameanza...
Wasanii wakibongo wengi wamekuwa mstari wa mbele sana kulilia haki zao kuwa wanaibiwa (kweli wanaibiwa sana),lakini hivi nyinyi wenyewe hamuoni mnavyowaibia na kuwadhulumu maproducer.Ukienda mbele mtu kama Swizz ,Dr dree mpaka kesho bado wanakula hela ya nyimbo walizo zalisha lkn kwa bongo...
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana lile tukio limetengenezwa ili kusogeza mbele tarehe ya tukio la Fiesta
Hivi na mm naomba mnisaidie, Mdogo wangu ana three ya14 ana DEE, hajafikisha point 4 lkn kachaguliwa bsc in accountancy CBE vipi TCU wameshusha pointi.Mpaka sasa siamini nipo safarini hebu nisaidieni
Dah bonge moja la nyimbo, sometime hili beef la watu wawili (kiba na mondi) linatuharibia gemu watangazaji na radio nao wamekuwa mashabiki, mpaka nyimbo kama hizi zinakosa airtime
Nilikuwa najaribu kuconfigure MPLS network L3 kwa kutumia image ambaye nairun katika GNS3 lakini Kuna baadhi ya command zina kataa, kwa hiyo naomba mnisaidie kama Kuna version ya image nyingine ambaye ina support MPLS, naomba mnisaidie
Nilikuwa najaribu kuconfigure MPLS network L3 kwa kutumia image ambaye nairun katika GNS3 lakini Kuna baadhi ya command zina kataa, kwa hiyo naomba mnisaidie kama Kuna version ya image nyingine ambaye ina support MPLS, naomba mnisaidie
-LAN switching configuration and troubleshooting.
-Configuration and troubleshooting of routing protocols (Static route, RIP, EIGRP, OSPF, ISIS, and BGP).
-NAT configuration and troubleshooting (Dynamic and Static).
- Policy Based Routing (PBR) configuration and troubleshooting.
-Routing...
Nina rafiki yangu ,anatafuta kazi ya kuvolunteer ktk maswala ya network.Ingawa hana certificate kama CCNA,CCNP au CCIE ,lkn yupo vizuri sana hasa upande wa configuration kwa kutumia network simulator kama packet tracer na GNS3 .
- LAN switching configuration and troubleshooting.
-Configuration...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.