Nunua SINGER kama bado yapo.
kwa wazazi wangu lipo lina miaka 50
sasa na linapiga kazi. na halijawai kuisha gas wala
matengenezo yoyote zaidi ya kulipulizia rangi.
Niliwahi kutuma pesa fasta.
Niliyemtumia alipata sms ya kutumiwa.
Mimi niliyetuma sikupata sms ya kumpatia
niliyemtumia ili aweze kutoa hiyo hela.
kwenda bank nikapewa fomu nijaze.
miezi nne hela yangu haijarudi.
@Benteke
Sa ww baada ya kuivaa ungemwonesha
jinsi inavyokukaa.
Ili akubali usivae, kisa cha kutembea dushe linatingishika
kwa kutoshikwa vema na G-String
Nimecheka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.