Search results

  1. George Dalali

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Kwa upande wangu, najuta kutozingatia uhalisia wa mahitaji Vs. Ujenzi wenyewe. Naomba kutoa mifano: 1. Umuhimu wa swimming pool Vs. Uhalisia. Vilinganishi vya uhalisia: a. Utitiri wa swimming pools, at your own choice, b. Privacy, swimming pools za nyumbani ni changamoto hasa kama una familia...
  2. George Dalali

    Zijue nchi sita tajiri katika Afrika wakati Pato la jimbo la California linazidi pato lote la Afrika

    Kuna Rothschild, familia moja ila pato lake ni zaidi ya Nchi [emoji16] Sent from my TECNO KH6 using JamiiForums mobile app
  3. George Dalali

    CIA,NSA ,KGB,FBI ,SPY ,SECRET SERVICE MOVIE

    Nafikiri ni kama seasons nne au zaidi. The good thing wameigiza tukio ambalo lilitokea kweli. Kingine ni element ya ufafanuzi kuhusu kinu cha nuclear kinavyofanya kazi.
  4. George Dalali

    CIA,NSA ,KGB,FBI ,SPY ,SECRET SERVICE MOVIE

    Kuna Series Moja: "Chernobyl". Inahusu leakage ya kinu cha nuclear, ipo real sana.
  5. George Dalali

    Jifungie zako ndani, tazama filamu hizi

    The 6th sense, ingawa ni movie ya zamani niliielewa sana.
  6. George Dalali

    Inakuwaje wanafunzi wanafeli hesabu wanafaulu physics na chemistry

    [emoji23][emoji23] Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  7. George Dalali

    Some childhood memories

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  8. George Dalali

    Does Mama Samia have a privilege to constitutionally nominate ten more MPs ?

    Bonge la swali. Ngoja tupitie mijarabati [emoji23] Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  9. George Dalali

    Maurice: Jogoo mwenye kelele nyingi ashinda kesi dhidi ya majirani zake

    Ili kulielewa suala hili, ni vyema ukachagua approaches mbili (labda mjongeo wa kifikra): 1. Haki za wanyama. 2. Haki za binadamu. Ukweli ni kwamba msingi wa Sheria ni mahusiano baina ya mtu na mtu. Mtu anaweza kuwa mtu halisi au mtu kisheria: mfano: kampuni nk. Mtu anaweza pia kumaanisha...
  10. George Dalali

    Benjamin W. Mkapa: Mhariri wa “Uhuru” na “The Nationalist”

    Usijichoshe baba. Issue ni: kweli kwa umri wako na matukio uliyopitia unaweza bado kuwa ni mitazamo ya ki sirisiri kwenye maandiko yako? Hivi kweli bado hujafahamu kwamba unaeneza chuki? Ishi uzee mwema. Wape watu faraja badala ya chuki.
  11. George Dalali

    Tanzia ya Dkt. Dau kwa rafiki yake hayati Benjamin William Mkapa

    Ukitembelea segment ya History hapa Jamii forum utabaini mwandishi halisi wa post hii.
  12. George Dalali

    Benjamin W. Mkapa: Mhariri wa “Uhuru” na “The Nationalist”

    Baba, soma tena post zako. Ukizisoma nakushauri uchukulie wewe si Mohamed Said chukulia wewe ndio George Dalali. Utapata tunachokisema. Aidha labda kwa bahati mbaya au kwa kukusudia, binafsi nakuona unalengo la kueneza chuki.
  13. George Dalali

    Benjamin W. Mkapa: Mhariri wa “Uhuru” na “The Nationalist”

    Mzee wangu, Unajua ni kwanini hata tukilalamikia mchanganyiko wa mitazamo yako ya kidini kwenye maandishi yako bado tunayasoma? 1. Tunajipa kazi ambayo wewe ulitakiwa kuipunguza kwa kusimamia facts tu. Kutenganisha emotions na facts. Sehemu ya maandishi yako ni matokeo ya utafiti. Kinacho...
  14. George Dalali

    Maamuzi ya Mahakama: Shule Bora Kwa Wapenda Sheria

    Uamuzi huu unahusu admission and authenticity of electronic evidence. Ubora wa uamuzi huu: 1. His Lordship Mwambegele J amejitahidi mno. Uamuzi umekuwa very authoritative kutokana na Utafiti mkubwa alio ufanya yeye mwenyewe kama Jaji na Mahakama. No wonder, alirusha ka kijembe kadogo kwa...
  15. George Dalali

    Maamuzi ya Mahakama: Shule Bora Kwa Wapenda Sheria

    Tafadhali ridhia tuvuruge kidogo break yako kidogo: Madhara ya makosa ya mchapaji wa hukumu and Mahakama. Pata saga ya story: Mh Judge wa High Court aliamua kwamba Appellant hana hatia na anatakiwa kuachiwa huru. Appellant hakuachiwa huru na aliendelea kutumikia kifungo. Sababu? (let the...
  16. George Dalali

    Benjamin W. Mkapa: Mhariri wa “Uhuru” na “The Nationalist”

    Kwahiyo, je tuseme bila kupepesa macho kwamba unatumia historia ya masuala ya kisiasa ya nchi yetu kama fursa ya kuelezea misimamo yako ya kidini?
  17. George Dalali

    Maamuzi ya Mahakama: Shule Bora Kwa Wapenda Sheria

    Binafsi the Court imenichanganya kwenye uamuzi huu. Ukiusoma uamuzi Appellant alifile petition of Appeal High Court dhidi ya uamuzi wa Assistant Registrar of title of Dodoma (rejea quotation ya petition of appeal). Katika ground za Appeal alieleza kwamba Registrar huyo hakuzingatia kwamba...
Back
Top Bottom