Website haipatikani boss,
Hivi mnatoa huduma ya Transportion from Japan to Tanzania hata kama nimenunua spare parts kwa supplier mwingine? If yes gharama zenu mnacharge vipi?
Sio viongozi tu hata baadhi ya watendaji wao ni wazee na hawana customer care nzuri hata kidogo ndio maana shirika lipo lipo tu.
Wiki iliyopita kwenye moja ya branch yao hapa hapa Dar nimeshangaa mteja nagombezwa na Bi Mkubwa mmoja hivi sijui ndio cashier wao ili nilipe line haraka ili tu eti...
Labda alimaanisha hiyo part 2 mkuu.
Tafuta Annabelle nazo zipo 3 hutojuta.
Annabelle 2014.
Annabelle: Creation 2017.
Annabelle Comes Home 2019.
Ngoja nikupe plot kidogo ya hiyo Annabelle Comes Home ni inamhusu mtoto wa Edd na Lloraine ambapo anajikuta matatizoni baada wazazi wake kusafiri...
Zamani ilikua 2GB kwa buku ikaenda wee wakaona tunafaidi wakashusha ikawa 1GB imeenda bado wameona tunafaidi sana sasa imekua MB500 kwa buku. Mshahara haujapanda mwaka wa sita huu huku gharama za maisha zinapanda daah. Manung'uniko yanaishia moyoni wa kutusikiliza hayupo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.