Thanks Preta, nimeigoogle nimepata maelezo yake, nitaitafuta next week nikija jijini maana huku nilipo hamna pharmacy kubwa. Ubarikiwe. Hope itanisaidia
Heshima kwenu wana JF. naombeni msaada wa mawazo jinsi gani nitaweza kumaliza tatizo la jasho. mimi ninatokwa na jasho jingi sana makwapani yaani hadi nakosa raha. Sina uhuru mwenzenu ikiwa ni jua, baridi, asubuhi au usiku ni jasho tuu..Kazini ndio kabisa yani lazima nivae dark colours kuficha...
mh, sidhani, mambo kama haya yalishawahi kusemwa sana huko nyuma lakini hayajatokea. na kwa imani yangu mimi hakuna binadamu anaeijua siku ya mwisho isipokuwa Mola pekee, hizo ni propaganda!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.