Serikali inatakiwa iangalie sana hili vuguvugu la mabank uchumi wa nchi yoyote unaendeshwa na banks sasa naona hapa watu wanataka waaminishwe kuwa tz ni banks mbili tuu ndo Zina faa nyingine hazifai it's not right kabisa serikali isipo angalia vizuri tutapata shida kiuchumi hata hizo banks...
Kama bank from the start ilikuwa na support kutoka serikalini why not isiwe na faida na network kubwa? imagine taasisi zote za serikali zina account hapo pamoja na watumishi wote accounts zao za mishahara zipo hapo na mikopo yao pia, bank ina cheap deposits kutoka serikalini ndo mana mikopo yake...
Jamani msaada jinsi yaku download maana siku hizi kila napotaka kudownload naambiwa ni hide my IP address natumia utorrent na site nazopendelea ni the pirate Bay, kiackass Sema hii nayo siku hizi Naona haipo updated Sijui ishafungwa, Kuna eztv etc Yaani zote hizi nikiingia ni hide your IP...
Ukitaka kujua maana ya IQ ndogo refer uelewa wako wa kupambanua mambo ndo utajua maana yake.Coz post yangu sijaongelea habari za kuishi uswahilini lakini ushaziingiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.