Karibuni niliota napanda mlima mkali sana kwenda juu, ubaya zaidi hata ile miti ya kushikilia nikakosa kabisa. Nikawa nashika nyasi chache zilizoota kwenye mlima huo. Nilipoota hakukuwa na eneo lingine la kupita zaidi ya hapo. Nilibahatika kufika kileleni ila sikuwa na viatu, nikatembea peku...
Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Tread iko poa sana ila inahitaji elimu zaidi juu ya kodi TRA, mambo yamekuwa magumu kwa wafanyabiashara kwenye hilo. Hayo madini tumekuwa tukiyakosa siku nyingi, tuendelee kukaribisa wengine wenye great business ideas ili wote wapate kujua pa kuanzia na sio kila siku kulalamika kama kawaida ya...
Muungano una faida sana kwa wa-zanzibar haswa kuliko sisi wa tanganyika, ila wao hawaoni hilo. Ukivunjika sasa wote wataathirika ata wewe unayehisi hauna faida nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.