Habari wana Jf,
Kwa anae weza nisaidia upande wa mawakili au anae jua mambo ya mahakama, je ni kwa namna gani naweza pata pdf za hizi case files.
Kwa mfano ile case ruling ya Bilionea Msuya ya 2018?
Kuna namna naweza access hizi files?
Wanahitajika wadada 3 kwa ajili ya kazi kwenye salon za kiume.
Qualities: Wawe smart na presentable. Age ni 20-27.
Salon ziko Musoma, so anybody yuko willing kufanya kazi au anajua mtu yoyote anae weza fanya kazi hit my dm.
Habari wana JF
Samahani ningependa kuuliza kwa mwenye taarifa zozote kuhusu hiki kitu,
Who has the upper hand kwenye kutoa final candidates wa ajira husika katika hizi taasisi zinazo fanya usaili kupitia utumishi?
Je utumishi wana control kila kitu kuanzia written exam mpaka oral na final...
Habari wana jf,
Katika hali ambayo sikutarajia nimejikuta na fungia ndani smartkey ya gari aina ya Mark X na hivyo gari imejilock na sina namna ya kuifungua maana sina spare key plus nilikua na wahi mahala nimefungia vitu muhimu ndani ya gari
Any suggestions nifanyeje hapa?
===
MREJESHO...
Samahani wadau,
Nimeitwa kufanya usaili TANAPA tarehe 21 ila sijawahi kuhudhuria Interview yoyote ya serikali kama kuna tips zozote muhimu unaweza kuniachia hapa chini itakua vyema.
Kuelekea kufanya usaili wa kwaza wa mchujo vyeti huwa vina kaguliwa kabla ya kuingia kwenye chumba cha mtihani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.