Search results

  1. S

    Hoja za Matangazo kwenye jezi mpya Simba

    Roman na Glazzers hawana uwezo wa kujaza matangazo kwa kua premier League inatoa nafasi ya matangazo mawili tu na ni sheria.
  2. S

    Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

    Kwa hali ya kawaida mtu hawez fikiria ni madafu
  3. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    1)anaitumia kibiashara ni kweli lazima apate faida 2)51 si kitu hakuna mahali nimesema hivo 3)vikombe kidogo..hii ndio sole responsibility ya timu kwa mashabiki 4)long run..unabase predictions zako kwenye assumptions za upande mmoja na kulazimisha kua lazima itakua hivyo..je kama isipokua kama...
  4. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    Hua nashangaa sana mtu akishakua tim pinzani basi anajiziba na macho asione vitu vipivyo wazi
  5. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    Sehemu ya pili umeongelea nguvu ya 51%..yaani hao hakuna chochote kwenye timu wanachoprovide hakuna kabisa zaidi ya kutegemea kitakachozalishwa na timu ambacho kiuhalisia hakikidhi mahitaji ya timu..yani kwa kawaida tu lazima 49% zitakua na nguvu kwa sababu zifuatazo 1)Mo anamiliki hisa kubwa...
  6. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    Brother hufikirii?Mo alikua mdhamini kwa kila kitu pale Simba obviously atakua favoured kwa yale machache atakayohitaji mbona hii ni basic sana kwenye maisha?na moja kati ya hilo ni wafanyakazi wa club tena wale wenye popularity potential wasitangaze bidhaa zenye mgongano wa kimaslahi na yeye na...
  7. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    Swali dogo tu unazunguka twende kwa facts tetea hoja zako
  8. S

    Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

    Hio ni kawaida kwenye biashara yyte mzee..iwe mpira iwe real estate au yyte ile pesa ya mara moja hua ni chache ukilinganisha na pesa ya kidogo kidogo Liverpool thamani yake ilikadiriwa kua 1.3B by 2019 lakini kwa mwaka tv rights wanapata zaidi ya 200M inamaana kwa miaka kumi itakua walishika...
  9. S

    Bilioni 20 Zimewekwa kinyongee Utadhani hakuna kilicho tokea. Umuhimu wa Manara Upo

    Eleza vitu angalau vitatu alivyotapeli mo hapo simba
  10. S

    Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

    Brazaaa achana na hesabu za matikiti..pesa ya kidogo kidogo kwa kawaida hua nyingi kuliko ya mara moja mbona kama hizi ni basics tu katika biashara yyte au ndo kujitoa ufahamu
  11. S

    Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

    Biashara haiendi hivo boss Liverpool inakaririwa kua na thamani ya 1.3B by 2019 lakini walisign deal la jezi na nike lenye thamani ya 91m kwa mwaka..maana yake kwa miaka 10 ni 910M haipishani sana na thamani ya club ina maana wangeongeza kidpgo tu wangeifikia thamani na hizo ni jezi tu..bado...
  12. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Umefurahi au umechukia?
  13. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Kwa hio wewe kama uto umefurahi au umechukia
  14. S

    Simba imeshinda mchezo lakini Yanga tulikuwa bora zaidi yao

    Ndo standards za yanga hizi?
  15. S

    Mo Dewji anzisha king'amuzi chako, Azam wanatawala sana

    Baba unazunguk sana..ligi kuu ina mkataba na azam yyte anayeshiriki lazima aendne na mktaba
  16. S

    Kampuni inaweza kuanzisha ligi ya mpira wa miguu tofauti na hii iliyo chini ya TFF?

    Inawezeiana lakini inabidi mkubaliane kua mnahitaji kushawishi sana vilabu viachane na fifa maana fifa haina mamlaka ya kuzuia biashara nyingine sema itabidi uweoe mpunga mwingi sanaaaaaaa hadi ushawishi dunia iitenge fifa
  17. S

    Kwanini China bado inabaki ni kitendawili baada ya miaka 100

    Vitu vingine mbona vya kugoogle tu mzee..hayo ni magari bado vifaa vya simu ambavyo kwa haraka asilimia 90 vinatengenezwa china..bado wachina ndo wajenzi wakubwa zaidi duniani kwa sasa madaraja hadi railways majengo
  18. S

    Kwanini China bado inabaki ni kitendawili baada ya miaka 100

    mzee sjajua unajua au unajifanya unajua
Back
Top Bottom