Habari wanajukwaa mm ni mwanaume mika 29. Nimemfumania LIVE akinyanduliwa mpenzi wangu ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na tumedumu naye kwa miaka minne sasa, lakini yote kwa yote tulipanga mwezi wa kumi na mbili yaan Desemba tufunge ndoa na michango ishaanza kuchangishwa
Kiukweli nampenda ila...
Habari wana Jamii forum,Naomba msaada wa kisheria,,kuhusiana na sheria za Kazi na Ajira,,,,sina pesa ya kumlipa ila nikifanikiwa atanufaika kwa kufanikiwa kwangu,,,mwenye wito wa msaada plz anichek DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.